Simba au Yanga kuchuana na Sevilla May 23

Wadhamini wa vilabu vya Simba na Yanga kampuni ya SportPesa, imetangaza kuileta nchini Sevilla Fc inayoshiriki ligi kuu ya Hispania, La Liga

Mkurugenzi wa Utawala na Utekelezaji wa kampuni ya SportPesa Abbas Tarimba amesema Sevilla itakuja nchini May 23 kuchuana na kati ya Simba au Yanga kwenye mchezo utakaopigwa uwanja wa Taifa

SportPesa pia inadhamini ligi kuu ya Hispania, La Liga