
Zahera anatarajiwa kurudi May 19 siku tatu kabla ya mchezo wa raundi ya 37 ligi kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Mbeya City
Mcongomani huyo amemuachia majukumu kocha Msaidizi Noel Mwandila

Zahera anatarajiwa kurudi May 19 siku tatu kabla ya mchezo wa raundi ya 37 ligi kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Mbeya City
Mcongomani huyo amemuachia majukumu kocha Msaidizi Noel Mwandila