Zahera aenda Congo, kuiwahi Mbeya City

Kocha Mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera ameondoka jana kwenda DR Congo ambako inaelezwa amekwenda kushughulikia masuala binafsi

Zahera anatarajiwa kurudi May 19 siku tatu kabla ya mchezo wa raundi ya 37 ligi kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Mbeya City

Mcongomani huyo amemuachia majukumu kocha Msaidizi Noel Mwandila

Leave a comment