– Christian Pulisic ametua London tayari kuanza kuitumikia Klabu yake ya Chelsea Baada ya kucheza nusu msimu kwa mkopo akiwa na Borussia Dortmund; Ikumbukwe Nahodha huyo wa timu ya taifa ya Marekani alisajiliwa na The blues mwezi January na kuachwa kwa mkopo BvB.
#transfers