USAJILI: Klabu ya Raja Casablanca ya Morocco 🇲🇦 Imethibitisha kukamilisha Usajili wa kiungo fundi, Fabrice Luamba Ngoma

OFFICIAL! – Klabu ya Raja Casablanca ya Morocco 🇲🇦 Imethibitisha kukamilisha Usajili wa kiungo fundi, Fabrice Luamba Ngoma kutoka Miamba wa Kinshasa, Klabu ya AS Vita Club 🇨🇩.
.
– Kiungo huyo wa Kimataifa wa DR Congo, amesaini Mkataba wa Miaka Mitatu kuwatumikia Miamba hao Baada ya kudumu Kinshasa kwa Misimu miwili.
#transfers

Leave a comment