Mbwana Samata awasili nchini kwao Tanzania kujiandaa na Afcon 2019

Nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta akiwasili tayari kujiunga na Timu ya Taifa @Taifastars_ kujiandaa na Michuano ya Afcon itakayofanyika Misri. @samagoal77

credit: @taifastars_

Leave a comment