Simba Sc imeanza kuwania saini ya beki wa Lipuli Fc Willium Lucian “Galas”

Klabu ya Simba Sc imeanza kuwania saini ya beki wa Lipuli Fc Willium Lucian “Galas” ili kuboresha kikosi chao kuelekea kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika msimu ujao. .
Taarifa za awali zinadai kuwa huenda ikaachana na beki wao Zana Coulibaly.