Klabu ya Simba Sc imeanza kuwania saini ya beki wa Lipuli Fc Willium Lucian “Galas” ili kuboresha kikosi chao kuelekea kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika msimu ujao. .
Taarifa za awali zinadai kuwa huenda ikaachana na beki wao Zana Coulibaly.