Lamine Moro beki raia wa Ghana ambaye awali aliwahi kufanya majaribio na kikosi cha Simba Sc ametua nchini kumalizana na Yanga Sc tayari kwa msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania.
Lamine Moro beki raia wa Ghana ambaye awali aliwahi kufanya majaribio na kikosi cha Simba Sc ametua nchini kumalizana na Yanga Sc tayari kwa msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania.