Nahodha wa simba Mohamed Hussein aongeza mkataba

credit: @sports extra

Nahodha msaidizi wa klabu ya Simba Sc Mohamed Hussein amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia klabu hiyo kwa mara nyingine. .

.

Beki huyo alisaini kabla ya safari ya kuelekea Misri kwenye majukumu ya timu ya Taifa.

Leave a comment