
credit: @sports extra
Nahodha msaidizi wa klabu ya Simba Sc Mohamed Hussein amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia klabu hiyo kwa mara nyingine. .
.
Beki huyo alisaini kabla ya safari ya kuelekea Misri kwenye majukumu ya timu ya Taifa.