Herrera apatashavu Paris saint Germany

credit: @sokawaytz_…

DONE DEAL: Mabingwa wa Ufaransa, Klabu ya PSG Sasa rasmi Imethibitisha usajili wa Kiungo wa Kimataifa wa Hispania, Ander Herrera kuwa kasaini Mkataba wa Miaka Mitano dili hilo litafikia tamati mwaka 2024. Katua klabuni hapo Kama Mchezaji huru Baada ya kumalizika kwa Mkataba wake na Manchester United.

#TransferNewsUpdates

Leave a comment