Polisi tanzania yazidi kujiimarisha kiusajili

credit: @sokawaytz_…

OFFICIAL | Klabu ya JKT Tanzania imeendelea kusuka Kikosi chake kuelekea msimu moya wa ligi Kuu Tanzania Bara kwa kukamilisha Usajili wa Beki Iddy Mobby kwa Mkataba wa Mwaka mmoja. Msimu uliopita kiraka huyo alichezea Mwadui FC.

.

– Wakati huo huo, Hassan Nassor Maulid amejiunga na Polisi Tanzania kwa mkataba wa Miaka Miwili akitokea Ndanda FC ya Mtwara ambayo Wachezaji wake waliokuwa nao msimu uliopita wanazidi kupukutika..

#TPLTransferUpdates #TPLUpdates

Leave a comment