Deal done Emanuel okwi aiga rasmi simba

credit: @90sportsplus…

DEAL DONE|

Mshambuliaji hatari @emmanuelokwi amejiunga na club ya Itthad fc ya nchini misri kwa mkataba wa miaka 2 akitokea @simbasctanzania kama mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake msimu uliopita.

Kila la kheri @emmanuelokwi ✊

..

..

..

Leave a comment