
credit: @90sportsplus…
DEAL DONE|
Mshambuliaji hatari @emmanuelokwi amejiunga na club ya Itthad fc ya nchini misri kwa mkataba wa miaka 2 akitokea @simbasctanzania kama mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake msimu uliopita.
Kila la kheri @emmanuelokwi ✊
..
..
..