#TetesiZaUsajili Imeripotiwa kuwa klabu ya Simba Sc tayari imeanza mazungumzo na mshambuliaji wa Rayon Sports Bonfils Caleb Bimenyimana (20) ili kumsajili katika kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili.
Caleb ni moja ya washambuliaji hatari katika kikosi hicho chenye maskani yake nchini Rwanda ambapo alishwahi kuifunga Yanga Sc bao safi katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika msimu uliopita.
#sokaonlineUpdates