Yanga wanasa chuma kingine Rwanda

– Klabu ya Yanga SC imefikia Makubaliano ya kuingia Mkataba wa Miaka Miwili na Mshambuliaji wa Kimataifa wa Rwanda, Issa Bigirimana.

.

– Bigirimana Mzaliwa wa Burundi lakini anaitumikia timu ya taifa ya Rwanda, amemwaga wino wa Mkataba wa Miaka Miwili kuwatumikia Miamba wa Mitaa ya Jangwani akitokea katika Klabu ya APR FC ya Ligi Kuu Nchini kwao Rwanda.

.

– Bigirimana 23, anakuwa Mchezaji wa Pili kusinyaa Baada ya Jana, Kiungo Ambaye Pia ni wa Rwanda kutoka Klabu ya Mukura Victory, Patrick Sibomana kumwaga wino.. Haya yote ni kuijenga Yanga mpya ya Ushindani kwa msimu ujao 2019/20..

#transfers #Updates

@Sokawaytz

credit: @sokawaytz

Leave a comment