Nigeria yaipiga Burundi Afcon

credit: @sokawaytz…

FULL-TIME | Alexandria Stadium, ALEXANDRIA.. Ikiwa ni Michuano yao ya kwanza kabisa katika Historia Burundi wanaanza Kwa kupoteza.. Burundi wamecheza Soka saafi kabisa lakini Nigeria wamepata goli kutumia uzoefu wao wa Mashindano Baada ya kosa dogoo kufanywa na Beki wa Burundi.. Well Done Intamba m’Urugamba bila Shaka Nigeria hawakutegemea ๐Ÿ‘Š๐Ÿ‘๐Ÿ‘.

:

Nigeria ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ 1-0 ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ Burundi

[Odion Jude Ighalo 77mins]

#TotalAFCON2019 #AFCONUpdates

Mechi ya ufunguzi ya Afcon

credit: @sokawaytz…

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰ Muda huu Dimba la Cairo International Stadium limejaaa… Mamia ya watazamaji wameingia na kujaza uwanja kutazama uzinduzi wa fainali za AFCON 2019 ambapo wenyeji Misri watakipiga dhidi ya The Warriors timu ya taifa ya Zimbabwe…

#AFCONUpdates

Kocha wa Senegal asema hawezi dharau mechi zake dhidi ya Tanzania na kenya

credit: @sokawaytz…

– Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Senegal, Aliou Cisse amesisitiza kwamba hawezi kudharau atakapo kuwa akicheza dhidi ya Kenya na Tanzania katika mechi za Kundi la C kwenye Kombe La Mataifa ya Afrika “AFCON” nchini Misri..

:

๐Ÿ—ฃ “Senegal ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ณ na Algeria ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ ni timu kubwa na nzuri sana katika kundi hili, lakini Kenya na Tanzania hawapaswi kupuuzwa.. Ninawaambia, Senegal haiogopi wala kuhofia timu yoyote” Alisema kocha huyo ambaye Pia amesisitiza mwanzo mzuri wa Mashindano ni Kushinda mechi ya kwanza na amewaandaa vijana wake kupambana dhidi ya Tanzania siku ya Jumapili katika game yao ya Ufunguzi.. #TotalAFCON2019

@Sokawaytz