
Man united yajitosa Kusajili

credit: @sokaonline_…
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye mtandao wa ESPN Brazil, klabu ya Manchester United ipo tayari kutoa zaidi ya kiasi kisichopungua £110m ili kupata saini ya nyota wawili Matthijs De Ligt pamoja na Hakim Ziyech kutoka Ajax.
Liverpool mabingwa ulaya ,firminyo atabiri ushindi wao kabla ya mechi

Meddie kagere akabidhiwa kiatu chalet cha ufungaji bora

credit: @simbasctanzania…
Meddie Kagere amekabidhiwa Tuzo ya Mfungaji Bora na tovuti ya habari za michezo ya Kandanda. Katika msimu wa Ligi Kuu 2018/2019 ambao umemalizika hivi karibuni, Kagere alimaliza akiwa amefunga magoli 23 ambayo yamemwezesha kuwa mfungaji bora. #NguvuMoja
Lipuli 0-0 Azam half time

Kikosi cha lipuli kitakachocheza fainali thidi ya azam


Kikosi cha azam kitakachocheza fainali leo thidi ya lipuli
credit: @sokawaytz…
Kikosi cha Azam FC dhidi ya Lipuli FC #AsfcFinal
16 Razak Abalora
14 Nickolas Wadada
03 Daniel Amoah
05 Yakubu Mohammed
06 Agrey Moris (c)
22 Salmin Hoza
27 Mudathir Yahya
08 Salum Abubakar
07 Obrey Chirwa
11 Donald Ngoma
26 Bruce Kangwa
AKIBA:
Mwadini, Mwasapili, Mwantika, Domayo, Peter, Lyanga, Kimwaga.
#sokawatz
Usajili ulaya



Liverpool ama Tottenham leo eufa champions league final

credit: @edokumwembe…
I go for Liverpool.. Wanachukua.. Safari hii Salah haumii.. Mzigo wangu kwao pale @tzsportpesa …Pesa yangu inaingia hapo hapo
Tottenham yajitosa kwa real betis

credit: @sokaonline_…
Klabu ya Tottenham inatarajia kutuma ofa ya £53m kwenda Real Betis ili kumsaini kiungo wa klabu hiyo Giovani Lo Celso (The Guardian)










