Matokeo ya mechi za jana pamoja na ratiba ya mechi za leo

credit: @sokawaytz…

MATOKEO YA SOKA JANA JUMANNE NA RATIBA YA LEO.

:

– World Cup U-20 – Play-off.

FT France U20 2 – 3 USA U20

FT Japan U20 0 – 1 South Korea U20

AET Argentina U20 2 – 2 Mali U20 *

.

– Africa – COSAFA.

(placement matches)

AP Uganda 1 – 1 South Africa *

FT Comoros 1 – 2 Malawi

.

– Morocco – Botola Pro.

FT Chabab Rif Al Hoceima 2 – 1 Youssoufia Berrechid

FT FUS Rabat 0 – 0 RSB Berkane

FT MAT Tetouan 3 – 1 Raja Casablanca

FT MCO Oujda 1 – 1 FAR Rabat

FT Olympic Club de Safi 1 – 0 KACM

FT Wydad Casablanca 4 – 1 OCK Khouribga

:

RATIBA YA LEO JUMATANO.

– UEFA Nations League – League A.

21:45 Portugal

Switzerland

.

– International – Friendlies.

11:30 Curacao

India

13:30 Japan

Trinidad and Tobago

15:45 Thailand

Vietnam

.

– International – Friendlies

(Alfajiri kuamkia Kesho).

02:00 Paraguay

Honduras

02:00 USA

Jamaica

03:30 Brazil

Qatar

04:00 Mexico

Venezuela

04:00 Peru

Costa Rica

.

– International – Friendly (Under 21)

15:00 Bulgaria U21

Cyprus U21

18:00 Ukraine U21

Israel U21

19:00 Czech Republic U21

Russia U21

19:00 Malta U21

Bosnia and Herzegovina

20:30 Montenegro U21

Georgia U21

.

– Africa – COSAFA.

(play-off)

18:00 Lesotho

Botswana

20:30 Zimbabwe

Zambia

:

🌙 Eid Mubarak 🌙

@Sokawaytz

Yanga yasijili tena mrundi

credit: @sokawaytz…

✍🏻 Klabu ya Yanga SC Imeendeleza vurugu zao kwenye suala zima la usajili baada ya kushusha beki mwingine wa Kimataifa wa Burundi, Moustafa Selemani; Moustafa ametua jana akitokea kwao Burundi katika Klabu ya Aigle Noir FC Ambao pia ndio Mabingwa wa Burundi msimu huu.

:

✍🏻 Beki huyo ambaye Pia ni Nahodha wa Timu ya taifa ya Burundi U23, kabakiza mwezi tu katika Mkataba wake na Aigle Noir, na kwa mujibu wa Taarifa ni tu ni kwamba kafikia Makubaliano ya Kusaini Mkataba wa Miaka miwili na Mabingwa wa Kihistoria Tanzania Klabu ya Yanga SC.. Nyota huyo Sasa ni beki wa Pili wa Kimataifa kusinyaa Jangwani Baada ya Mghana, Lamine Moro kumwaga wino siku chache zilizopita..

#transfers #updates

@Sokawaytz

Namuonga yaanza kusajili vifaa

credit: @sokawaytz…

– Mshambuliaji wa Klabu ya Alliance FC, Bigirimana Blaise ameripotiwa kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Namungo FC iliyopanda kucheza Ligi Kuu Bara msimu wa 2019/20 ikitokea FDL 2018/19.

.

– Kwa mujibu wa chanzo cha ndani kutoka katika klabu ya Namungo Ni kwamba wamefanikiwa kunasa saini ya mchezaji huyo baada ya kumalizana na timu yake ya Alliance; Blaise alijiunga na Alliance akitokea Stand United ambayo ilishindwa kumlipa maslahi yake ya mshahara sambamba na fedha yake ya usajili..

#updates #transfers

Matokeo ya jana

credit: @sokawaytz…

MATOKEO YA SOKA JANA JUMATATU NA RATIBA YA HII LEO.

:

– World Cup U-20 – Play-offs

FT Ukraine U20 4 – 1 Panama U20

FT Uruguay U20 1 – 3 Ecuador U20

FT Senegal U20 2 – 1 Nigeria U20

.

– International – Friendly Match.

FT Colombia 3 – 0 Panama

.

– Egypt – Premier League.

FT Al-Ittihad Al-Sakandary 3 – 1 Smouha SC

FT El Entag El Harby 1 – 2 Wadi Degla FC

FT El Hodood 1 – 1 El Zamalek

FT Petrojet 0 – 0 Al Mokawloon Al Aran

:

– Tanzania – TPL Playoffs

FT Geita Gold 0 – 0 Mwadui FC

FT Pamba FC 0 – 0 Kagera Sugar

:

RATIBA YA LEO JUMANNE:

– World Cup U-20 – Playoffs.

18:30 France U20

USA U20

18:30 Japan U20

South Korea U20

21:30 Argentina U20

Mali U20

.

– Africa – COSAFA.

(placement matches)

18:00 Uganda

South Africa

20:30 Comoros

Malawi

.

– Morocco – Botola Pro.

01:00 Chabab Rif Al Hoceima

Youssoufia Berrechid

01:00 FUS Rabat

RSB Berkane

01:00 MAT Tetouan

Raja Casablanca

01:00 MCO Oujda

FAR Rabat

01:00 Olympic Club de Safi

KACM

01:00 Wydad Casablanca

OCK Khouribga

.

– Nigeria – NPFL.

(championship)

17:00 Enyimba

Enugu Rangers

19:00 Kano Pillars

Akwa United

21:00 Ifeanyi Ubah United

Lobi Stars

#Updates

@Sokawaytz

Yanga wasaini chombo kingine

credit: @sokawaytz…

– Mlinda lango wa timu ya taifa ya Tanzania, Metacha Mnata 20″ amejiunga na Klabu ya Yanga SC kwa Kusaini Mkataba wa miaka miwili, Nyada huyo kajiunga na Yanga akitokea kuitumikia Klabu ya Mbao FC kwa mkopo ambapo Sasa kamaliza Mkataba wake na Azam FC..

.

– Usajili mwingine tena Jangwani, Mshambuliaji wa Kimataifa, Maybin Kalengo 20″ nae amesinyaa rasmi Mkataba wa Miaka Miwili kuwatumikia miamba hao msimu ujao.. Kalengo katoka kuitumikia Klabu ya ZESCO United ya kwao Zambia..

#transfers

@Sokawaytz

Bakambo aondoka rasmi yanga

credit: @sokawaytz…

MAKAMBO AONDOKA RASMI YANGA

Straika Heritier Makambo ameaga na kuondoka rasmi nchini tayari kujiunga na timu yake mpya ya Horoya AC ya nchini Guinea huku uongozi wa Yanga ukimpa Baraka zake.

.

.

“Tunakutakia kila lakheri Heritier Makambo kwenye majukumu yako mapya huko uendako tunatambua na tunathamini sana mchango wako kwenye klabu yetu” – Yanga.

@heritier_ebenezer @yangasc @horoyaac