
Category: all
Pogba hauzwii !!!!β½οΈ

credit: @simbamakini…
Manchester United imeiambia Real Madrid kuwa kiungo wao Paul Pogba hauzwi kwa dau lolote. Madrid wamepanga kuimarisha kikosi chake ili kurejesha makali yao yaliyopteza katika misimu miwili iloyopita.
Madrid itamshawishi Pogba kuomba barua ya kuondoka (Transfer request) ili kupata nafasi ya kumsajili la sivyo haitawezeka kupata saini yake kwakua United imewakomalia.
Rwandamila Amtaka Beno kakolanya zesco united

credit: @sokaonline_…
Klabu ya Zesco Utd rasmi imeanza harakati za kuinasa saini ya golikipa aliyeachana na Yanga Beno Kakolanya ikiwa ni pendekezo la kocha wa timu hiyo George Lwandamina. .
.
Lwandamina ameithibitishia @sokaonline_ kuwa ni kweli anamhitaji kwa kuwa anatambua uwezo wake tangu akiwa Yanga hivyo endapo watafikia makubaliano basi atahakikisha anatua klabuni hapo. .
.
Lakini huenda Zesco Utd wakapata wakati mgumu kumpata kutokana na Simba Sc nao kuhitaji huduma yake.
Kikosi cha Senegal

Haya ndio majina ya wachezaji wa Senegal walioitwa kuitumikia timu yao ya taifa katika mashindano ya Afcon 2019
Road to Afcon 2019 in Egypt

credit: @afcon2019…
FACTβ Egypt will be hosts for a record fifth time. They previously staged the African Cup of Nations in 1959, 1974, 1986 and 2006, winning three of those four tournaments and finishing third in the other.
#AFCON2019 #HostNation #Egypt
Bernado silva atangazwa kua mchezaji bora wa Eufa national league

credit: @sokawaytz…
– Bernardo Silva π΅πΉ ametangazwa kuwa Mchezaji bora wa Mashindano ya UEFA Nations League yaliyofikia tamati jana kwa upande wao Kuwa Mabingwa.. Kiungo huyo Msimu huu kwa Klabu @mancity na timu ya taifa @portugal π₯
:
π 58 Games
β½ 14 Goals
π― 17 Assists
π₯ UEFA Nations League
π₯ Premier League
π₯ FA Cup π₯ League Cup
π @UEFAEURO Nations League Player of the Tournament.
π @ManCity POTY.
#NationsLeague #Updates
Portugal (ureno) yatwaa ubingwa wa Eufa national league

credit: @sokawaytz…
OFFICIAL: Ureno wametwaa Ubingwa wa Michuano ya UEFA Nations League Baada ya kuibuka na Ushindi wa Goli 1-0 katika Mchezo wa fainali dhidi ya Uholanzi.. Ureno wametwaa Kombe hili katika Ardhi yao ya nyumbani… Goli Pekee la GonΓ§alo Guedes limewapa Ubingwa π΅πΉ.
.
– Ureno wamekua mabingwa mara mbili kwenye mashindano manne yaliyopita waliyoshiriki, Baada ya kubaba UEFA EURO 2016, na Mwaka huu 2019 wametwaa kombe hili La UEFA Nations league.
.
– Portugal imekuwa timu ya kwanza kutoka Ulaya kuandaa na kushinda Ubingwa wa Mashindano makubwa ya Ulaya tangu Ufaransa walipotwaa Ubingwa wa Dunia 1998 wakiifunga Brazil 3-0..
.
– Netherlands Sasa wamepoteza fainali Nne Kati ya tano za Mashindano makubwa yaliyopita kwa wao kufika fainal.. 3β£ Kombe La Dunia na 1β£ Nations League..Netherlands pia wameendelea kuwa dhaifu mbele ya Portugal wakuwa huko huko Portugal.. D2, L4 katika games 6β£ walizokutana..
#NationsLeague #Updates
@Sokawaytz
Simba na yanga zajitoa mashindano ya cecafa ,yatakayofanyika Rwanda mwaka huu

credit: @sokawaytz…
βπ» Katibu Mkuu wa CECAFA, Nicholas Musonye amesisitiza kuwa mashindano ya Kombe la Kagame yatafanyika kama ilivyopangwa licha ya vilabu kujitoa kwa Sababu Mbalimbali; Mabingwa wa Tanzania, Simba SC, walikuwa wa kwanza kutangaza kujitoa katika Mashindano hayo wiki iliyopita, na leo Jumapili wapinzani wao, Yanga SC pia wamethibitisha kuwa hawatoshiriki katika mashindano hayo ya kikanda.. Jana Mabingwa wa Burundi, Agle Noir FC waliandika barua ya kujitoa.
.
– Mechi za Mashindano haya zinatarajiwa kufanyika jijini Kigali, Rwanda kuanzia Julai 7 mpaka Julai 21..
π£ (Simba na Yanga) “Haishangazi hata wanapopigwa katika mashindano ya CAF, mara zote hupoteza kwa 5-0 au hata 6-0, hatufadhaiki wala haitukwamishi kwa kujitoa kwao”… Alisema Musonye ambapo Pia amesisitiza kuwa tayari wana timu kadhaa kutoka Kenya, Uganda, Rwanda na DR Congo ambazo zitakuja na kujaza nafasi hizo timu mbili za Tanzania.
π£ “Mashindano hayawezi kushindwa kufanyika kwa sababu ya Yanga na Simba hawapo, na tayari tumezungumza na timu Mbalimbali kuja kushiriki badala yao, Lengo letu ni kuwa na mashindano ya timu 16 na tutasimamia yawe hivyo” Musonye amesema.
.
βπ» Zesco United ya Zambia, AS Vita Club na DC Motema Pembe za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wao tayari wamethibitisha ushiriki wao pamoja na Azam FC ya Tanzania… Mashindano huleta timu kutoka Kenya, Rwanda, Burundi, Djibouti, Eritrea, Sudan, Somalia, Sudan Kusini, Ethiopia, Uganda, Tanzania na Zanzibar… Mshindi wa mashindano haya atarejea nyumbani kwake na kitita cha pesa ya thamani ya US$30,000..
#Updates #kagameCup
@Sokawaytz
Kamusoko aitwa Kikosi cha Zimbabwe Afcon

credit: @sokawaytz…
– Hongera kwao Viungo mahiri, @kamusoko_13 na @tafadzwakutinyu kwa kuwepo katika Kikosi cha mwisho cha Wachezaji 23 ambao watapeperusha Bendera Zimbabwe katika fainali za Mataifa ya Afrika AFCON mwezi huu nchini Misri.. Vijana hao wa kocha Sunday wapo kundi La A pamoja na mataifa ya Uganda, DR Congo na wenyeji Misri.
#TotalAFCON2019 #AFCON2019
Matokeo ya jana na mechi za leo duniani

credit: @sokawaytz…
MATOKEO YA SOKA JANA JUMAMOSI NA RATIBA YA HII LEO.
:
– EURO – Qualification::
FT Estonia 1 – 2 N.Ireland
FT Belarus 0 – 2 Germany
FT Croatia 2 – 1 Wales
FT Azerbaijan 1 – 3 Hungary
FT Iceland 1 – 0 Albania
FT Moldova 1 – 0 Andorra
FT Turkey 2 – 0 France
FT Russia 9 – 0 San Marino
FT Belgium 3 – 0 Kazakhstan
FT Scotland 2 – 1 Cyprus
FT Armenia 3 – 0 Liechtenstein
FT Finland 2 – 0 Bosnia and Herzegovina
FT Greece 0 – 3 Italy
.
– Women World Cup – Groups Stage.
FT Norway 3 – 0 Nigeria
FT Germany 1 – 0 China
FT Spain 3 – 1 South Africa
.
– International – Friendlies.
FT Singapore 4 – 3 Solomon Islands
FT Angola 2 – 0 Guinea-Bissau
FT Nigeria 0 – 0 Zimbabwe
.
– World Cup U-20 – Playoffs.
FT USA U20 1 – 2 Ecuador U20
AET South Korea U20 * 3 – 3 Senegal U20
.
– Africa – COSAFA FINAL
FT Botswana 0 – 1 Zambia π
.
– Morocco – Botola Pro June 8
FT Rapide Club Oued Zem 1 – 0 OCK Khouribga
.
– Tanzania – TPL Playoffs
FT: Mwadui FC 2-1 Geita Gold FC
FT: Kagera Sugar 2-0 Pamba SC
:
RATIBA YA HII LEO JUMAPILI.
UEFA Nations League.
16:00 Switzerland
England
21:45 Portugal
Netherlands
.
– World Cup Women – Group C
14:00 Australia
Italy
16:30 Brazil
Jamaica
– World Cup Women – Group D.
19:00 England
Scotland
.
– International – Friendlies.
13:00 Japan
El Salvador
18:00 DR Congo
Burkina Faso
20:00 Uganda
Turkmenistan
20:30 Cameroon
Zambia
21:00 USA
Venezuela
22:00 Brazil
Honduras
00:00 Paraguay
Guatemala
00:00 Peru
Colombia
02:00 Mexico
Ecuador
07:00 Fiji
Vanuatu
.
– Morocco – Botola Pro.
19:00 FAR Rabat
MAT Tetouan
19:00 KACM
Wydad Casablanca
21:00 Hassania Agadir
Chabab Rif Al Hoceima
21:00 Ittihad Tanger
FUS Rabat
21:00 Raja Casablanca
Difaa El Jadida
21:00 Youssoufia Berrechid
Olympic Club de Safi
#Updates
@Sokawaytz









