
Tarehe 06/04 kutafanyika uzinduzi rasmi wa kuichangia Yanga.
Tukio hilo la aina yake litaanza saa 12:00 jioni katika ukumbi wa Morena Hotel iliyopo Dodoma huku likiwa mubashara Azam 2 Tv, Kiingilio hakikisha umevaa jezi ya Yanga tu.
Wasanii wafuatao wapenzi wa Yanga watakuwepo makao makuu ya nchi ili kuratibu shughuli hiyo, Mhogo Mchungu, Mr Blue, Msaga Sumu, Single Mtambilike, Wema Sepetu, Haji Mbotto, Rado, Riyama, Uwoya, Madee, Papii Kocha, Ray Kigosi, Frola Mvungi, Kajala Masanja, Barafu, Chopa Mchopanga.
Wengine ni Kalapina, Rich One, Batuli, Haji Adam, Jacqueline Wolper , Yussuf Mlela ,Stamina,Esha Buheti, Steve Nyerere, Chuchu Hans, Dude, Shamsa Ford, Johari, mtangazaji Zamaradi Mketema, MC Pilipili, Seneta Msungu!
Hafla hiyo ya uzinduzi pia itahudhuriwa na watu maarufu na mashuhuri katika medani tofauti


















