Muonekano wa uwanja mpya wa Tottenham Hotspurs



Muonekano wa uwanja mpya wa Tottenham Hotspurs



Ratiba ya mechi za leo Tpl
Kikosi cha Simba Sc kikiwa kwenye mazoezi ya mwisho kabla ya kukipiga na Js Saoura kesho March 9



Mechi imemalizika kwenye Uwanja wa Chamazi, Dar es Salaam, wenyeji Azam FC wanaangusha kipigo kizito kwa Maafande wa JKT Tanzania.
FT: Azam FC 6-1 JKT Tanzania.
Weka maoni yako hapa kuhusu mchezo huu.
Full Time #UEFAASSIST
Miongoni mwa wachezaji waliojumuishwa katika kikosi hicho, Aishi Manula, Jonas Mkude na John Bocco wametoka katika klabu ya Simba



Chikupe maarufu kama ‘Dente’ alikuwa nje ya dimba tangu alipopata majeraha kwenye mchezo wa kombe la FA dhidi ya Namungo Fc uliofanyika Februari 24 mkoani Lindi
Yanga inajiandaa na mchezo wa ligi kuu ya Tanzania Bara dhidi ya KMC utakaopigwa keshokutwa Jumapili kwenye uwanja wa Taifa
Vinara hao wa ligi watakuwa na nafasi ya kujikita zaidi kileleni mwa msimamo kwani kama wataibuka na ushindi, watafikisha alama 67
Mmoja wa Wajumbe wa Kamati ya usajili ya Yanga amesema wamebaini kama watasubiri mpaka mwishoni mwa msimu ambapo mikataba yao itakuwa imemalizika kabisa, kuna uwezekano mkubwa wa kuwapoteza wachezaji hao ambao wako katika mipango ya kocha Mwinyi Zahera kwa ajili ya msimu ujao
“Ajib na Tshishimbi ni wachezaji muhimu ambao kocha anawahitaji kwa ajili ya msimu ujao. Sio hao tu, kocha ametuagiza tuhakikishe wachezaji wote anaowahitaji kwa ajili ya msimu ujao hawachukuliwi na timu nyingine,” alisema Mjumbe huyo wa Kamati ya usajili ambaye hakutaka jina lake liwekwe hadharani kwa kuwa yeye sio msemaji wa Yanga

Hivi karibu imeripotiwa kuwa Simba imeanza mkakati wa kumrejesha Ajib kunako klabu hiyo aliyoikacha mwaka 2017 huku Tshishimbi akihusishwa na mabingwa hao wa ligi kuu msimu uliopita pamoja na klabu ya Azam Fc
Zahera ameuagiza uongozi wa Yanga kuhakikisha unawapa mikataba mipya wachezaji wote anaowahitaji kabla ya msimu kumalizika
Zahera amesema kusubiri mikataba ya wachezaji hao kumalizika kabisa kutaigharimu zaidi Yanga hasa kama wachezaji hao watakuwa wakiwaniwa na timu nyingine
Jana kwenye Mkutano wa viongozi wa matawi ya Yanga, Zahera alisema anakusudia kusajili wachezaji sita wa kigeni ambao mchakato wa usajili wao anakusudia kuukamilisha kabla ya msimu kumalizika
Amewataka Wana Yanga waendelee kuhamasishana katika kuichangia timu hiyo kwani fedha hizo ndizo zitakazotumika katika usajili wa wachezaji hao na wale ambao mikataba yao inaelekea ukingoni
Zahera amesema msimu ujao anataka kutengeneza kikosi imara ambacho kitaipa mafanikio Yanga kwenye ligi na michuano ya Kimataifa.
Kwa sasa Yanga inapigania kupata moja ya nafasi za kuiwakilisha Tanzania kwenye michuano CAF msimu ujao
Kutimiza hilo ni lazima itwae taji la ligi kuu au kombe la FA (ASFC)

Mji huo uko umbali wa takribani kilomita 1000 kutoka Algiers




Tizi linaendelea kujiandaa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya JS Saoura. #NguvuMoja