Paris sant Germany mabigwa france super cup

credit: @sokawaytz…

FULL-TIME : PSG 2-1 RENNES

K.Mbappe ⚽ | A.Hunou

A.Di Maria ⚽

:

– PSG wamekuwa Mabingwa wa France Super Cup kwa kupindua Matokeo Baada ya kufungwa Mpaka mapumziko dhidi ya RENNES!.. Huu Ni Ubingwa wao wa Tisa Katika historia na Mara Saba mfululizo!..

πŸ† 2013

πŸ† 2014

πŸ† 2015

πŸ† 2016

πŸ† 2017

πŸ† 2018

πŸ† 2019

:

– PSG watwaa wakiipita Lyon kuwa Klabu iliyofanikiwa zaidi Katika kombe hili wao wakiwa Mabingwa Mara Nane!..

#psg #updates

@Sokawaytz_

Chelsea yashindwa kutamba mbele ya burrusia m’gladbach

credit: @sokawaytz…

FULL-TIME: Borussia M’gladbach 2-2 Chelsea

:

– The Blues hii leo wanahitimisha Mechi zao za Kirafiki kwa kupata Sare ya come back, wakipigwa Mbili Mpaka Mapumziko, na kuchomoa yote Kipindi Cha Mbili kwa Penati zikifungwa na Tammy Abraham na Kiungo, Ross Barkley Wakati Wajerumani hao wakipata magoli kupitia kwa, Alassane Plea na Jonas Hofmann… Agosti 11 Chelsea wataanza Rasmi harakati zao Katika Premier league dhidi ya Manchester United!!..

Everton yasajili kiungo kutoka ujerumani

credit: @sokawaytz…

– Everton Imethibitisha Kukamilisha Uhamisho wa kiungo kutoka Klabu ya Mainz ya Ujerumani, Jean-Philippe Gbamin Kwa mkataba wa miaka mitano kwa ada ya uhamisho Β£25m.

.

– Kiungo wa kimataifa wa Ivory Coast, 23, anachukua nafasi ya Idrissa Gueye, ambaye amejiunga na Paris St-Germain kwa pauni milioni 30… Gbamin, kucheza jumla ya mechi 11 na timu yake ya taifa zikiwemo game tatu Katika Michuano ya AFCON 2019..

#EPLTransfersUpdates

@Sokawaytz_

Batshuayi bado yupo sana Chelsea

credit: @sokawaytz…

πŸ‘‰πŸ» Michy Batshuayi anatarajia kusalia Chelsea msimu huu na kupiganiana nafasi dhidi ya Tammy Abraham na Olivier Giroud katika kikosi Cha kwanza kama mshambuliaji mkuu wa kocha, Frank Lampard.

.

πŸ‘‰πŸ» Chelsea wanatumikia marufuku yao ya kusajili Wachezaji kwa dirisha hili na linalokuja, lakini hawateteleki kwa kiasi kuhusu Hilo Ni Baada ya kuwa na rundo la Wachezaji Vijana waliowekezwa na Klabu hiyo, ndani ya Academy yao na wengine walitolewa kwa mkopo Vilabu Mbalimbali takribani 40+… The blues imefanya Usajili wake kwa Wachezaji wawili tu, Christian Pulisic na Kiungo, Matteo Kovacic Ambaye alicheza kwa mkopo klabuni hapo hivyo ikawa ruksa kumsajili na Pulisic alisajiliwa Mwezi January kabla ya kufungo kuwakuta.

.

πŸ‘‰πŸ» Tammy Abraham amerejea kutoka kwa mkopo Aston Villa na Michy Batshuayi amerejea kutoka kwa mkopo Crystal Palace… Kinda mwingine Mason Mount karejea kutoka kwa mkopo Derby County na ana uhakika kusalia na The Blues msimu huu Baada ya kufanya vema Katika Mechi za Pre-Seasons..

#EPLUpdates

@Sokawaytz_

Ronaldo ataka mafanikio zaidi

credit: @sokawaytz…

– Mshambuliaji wa Klabu ya Juventus, Cristiano Ronaldo amesema kuwa ana uhakika Miamba hao wa Serie A, Juventus watashinda Ligi ya Mabingwa Ulaya, akisisitiza kuwa Ubingwa “unakuja”.

.

– Baada ya mataji nane mfululizo ya Serie A, Juve bado wanaangaika kutafuta mafanikio ya Ulaya kufuatia medali tano za washindi wa pili tangu ushindi wao wa mwisho wa Ligi ya Mabingwa mnamo mwaka 1996..

.

– Hivi Karibuni, Juventus wamekuwa wakipigwa fainali tu, dhidi ya Barcelona mnamo 2015 na pia dhidi ya Madrid mnamo 2017, Madrid ambayo ilikuwa na Ronaldo ambapo alifunga magoli mawili kwenye fainali..

#championsleague #Juventus #cristianoronaldo

@Sokawaytz_