Paris sant Germany mabigwa france super cup

credit: @sokawaytz…

FULL-TIME : PSG 2-1 RENNES

K.Mbappe ⚽ | A.Hunou

A.Di Maria ⚽

:

– PSG wamekuwa Mabingwa wa France Super Cup kwa kupindua Matokeo Baada ya kufungwa Mpaka mapumziko dhidi ya RENNES!.. Huu Ni Ubingwa wao wa Tisa Katika historia na Mara Saba mfululizo!..

πŸ† 2013

πŸ† 2014

πŸ† 2015

πŸ† 2016

πŸ† 2017

πŸ† 2018

πŸ† 2019

:

– PSG watwaa wakiipita Lyon kuwa Klabu iliyofanikiwa zaidi Katika kombe hili wao wakiwa Mabingwa Mara Nane!..

#psg #updates

@Sokawaytz_

Paris sant Germany mabigwa france super cup

credit: @sokawaytz…

FULL-TIME : PSG 2-1 RENNES

K.Mbappe ⚽ | A.Hunou

A.Di Maria ⚽

:

– PSG wamekuwa Mabingwa wa France Super Cup kwa kupindua Matokeo Baada ya kufungwa Mpaka mapumziko dhidi ya RENNES!.. Huu Ni Ubingwa wao wa Tisa Katika historia na Mara Saba mfululizo!..

πŸ† 2013

πŸ† 2014

πŸ† 2015

πŸ† 2016

πŸ† 2017

πŸ† 2018

πŸ† 2019

:

– PSG watwaa wakiipita Lyon kuwa Klabu iliyofanikiwa zaidi Katika kombe hili wao wakiwa Mabingwa Mara Nane!..

#psg #updates

@Sokawaytz_

Chelsea yashindwa kutamba mbele ya burrusia m’gladbach

credit: @sokawaytz…

FULL-TIME: Borussia M’gladbach 2-2 Chelsea

:

– The Blues hii leo wanahitimisha Mechi zao za Kirafiki kwa kupata Sare ya come back, wakipigwa Mbili Mpaka Mapumziko, na kuchomoa yote Kipindi Cha Mbili kwa Penati zikifungwa na Tammy Abraham na Kiungo, Ross Barkley Wakati Wajerumani hao wakipata magoli kupitia kwa, Alassane Plea na Jonas Hofmann… Agosti 11 Chelsea wataanza Rasmi harakati zao Katika Premier league dhidi ya Manchester United!!..

Everton yasajili kiungo kutoka ujerumani

credit: @sokawaytz…

– Everton Imethibitisha Kukamilisha Uhamisho wa kiungo kutoka Klabu ya Mainz ya Ujerumani, Jean-Philippe Gbamin Kwa mkataba wa miaka mitano kwa ada ya uhamisho Β£25m.

.

– Kiungo wa kimataifa wa Ivory Coast, 23, anachukua nafasi ya Idrissa Gueye, ambaye amejiunga na Paris St-Germain kwa pauni milioni 30… Gbamin, kucheza jumla ya mechi 11 na timu yake ya taifa zikiwemo game tatu Katika Michuano ya AFCON 2019..

#EPLTransfersUpdates

@Sokawaytz_