![]()
credit: @90sportsplus…
Beki wa lipuli Haruna Shamte amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu yake ya zamani Simba @haruna_shamte (AFSA NKAI NGOBESE)
..
..
..
![]()
credit: @90sportsplus…
Beki wa lipuli Haruna Shamte amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu yake ya zamani Simba @haruna_shamte (AFSA NKAI NGOBESE)
..
..
..

credit: @90sportsplus…
DEAL DONE|
Mshambuliaji hatari @emmanuelokwi amejiunga na club ya Itthad fc ya nchini misri kwa mkataba wa miaka 2 akitokea @simbasctanzania kama mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake msimu uliopita.
Kila la kheri @emmanuelokwi β
..
..
..

credit: @90sportsplus…
Rasmi Golkipa wa Simba Sc Aishi Manula @28_manula ameondoshwa rasmi katika kikosi cha Timu ya Taifa kitakacho cheza na Kenya katika raundi ya Pili kufuzi CHAN baada ya majeraha kuendelea kumsumbua.
Mbadala wake ameitwa aliyekuwa golkipa wa Lipuli Fc Mohammed Yusuph ambae amesajiliwa na Polisi Tanzania.
Golkeepers @taifastars_ | Juma KasejaπΉπΏ

_…
Idrissa Gueye amefaulu vipi vipimo vya afya Paris Saint-Germain na atasaini mkataba wa miaka minne (4) na maamuzi ya kuongeza kwa miaka mitano(5) tena. Na ada ya ya uhamisho ni Β£27m [β¬30m].

credit: @sokaonline_…
#DealDone Klabu ya Proline FC ya Uganda imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa zamani wa Yanga Sc na Simba Sc Hamis Diego Kiiza akitokea Vipers Fc ya nchini humo.

credit: @sokawaytz…
ππ» Michy Batshuayi anatarajia kusalia Chelsea msimu huu na kupiganiana nafasi dhidi ya Tammy Abraham na Olivier Giroud katika kikosi Cha kwanza kama mshambuliaji mkuu wa kocha, Frank Lampard.
.
ππ» Chelsea wanatumikia marufuku yao ya kusajili Wachezaji kwa dirisha hili na linalokuja, lakini hawateteleki kwa kiasi kuhusu Hilo Ni Baada ya kuwa na rundo la Wachezaji Vijana waliowekezwa na Klabu hiyo, ndani ya Academy yao na wengine walitolewa kwa mkopo Vilabu Mbalimbali takribani 40+… The blues imefanya Usajili wake kwa Wachezaji wawili tu, Christian Pulisic na Kiungo, Matteo Kovacic Ambaye alicheza kwa mkopo klabuni hapo hivyo ikawa ruksa kumsajili na Pulisic alisajiliwa Mwezi January kabla ya kufungo kuwakuta.
.
ππ» Tammy Abraham amerejea kutoka kwa mkopo Aston Villa na Michy Batshuayi amerejea kutoka kwa mkopo Crystal Palace… Kinda mwingine Mason Mount karejea kutoka kwa mkopo Derby County na ana uhakika kusalia na The Blues msimu huu Baada ya kufanya vema Katika Mechi za Pre-Seasons..
#EPLUpdates
@Sokawaytz_

credit: @sokawaytz…
– Mshambuliaji wa Klabu ya Juventus, Cristiano Ronaldo amesema kuwa ana uhakika Miamba hao wa Serie A, Juventus watashinda Ligi ya Mabingwa Ulaya, akisisitiza kuwa Ubingwa “unakuja”.
.
– Baada ya mataji nane mfululizo ya Serie A, Juve bado wanaangaika kutafuta mafanikio ya Ulaya kufuatia medali tano za washindi wa pili tangu ushindi wao wa mwisho wa Ligi ya Mabingwa mnamo mwaka 1996..
.
– Hivi Karibuni, Juventus wamekuwa wakipigwa fainali tu, dhidi ya Barcelona mnamo 2015 na pia dhidi ya Madrid mnamo 2017, Madrid ambayo ilikuwa na Ronaldo ambapo alifunga magoli mawili kwenye fainali..
#championsleague #Juventus #cristianoronaldo
@Sokawaytz_

credit: @sokaonline_…
Golikipa Aishi Manula pamoja na beki David Mwantinka wataukosa mchezo wa leo wa kufuzu michuano ya CHAN 2020 dhidi ya Kenya baada ya kupata majeraha wakiwa mazoezini.

credit: @sokawaytz…
– Jarida la @marca hivi punde limeripoti Kwamba Mshambuliaji wa Kimataifa wa Wales, Gareth Bale ana Masaa tu kukamilisha uhamisho wake wa kutimkia Ligi Kuu Nchini China π¨π³, ndani ya Klabu ya Jiangsu Suning kwa Mkataba wa Miaka Mitatu akitokea Real Madrid ya Hispania!…
.
– Bale anatarajia kupokea Mshahara wa Β£1m kwa kila Wiki sawa na Tshs 2b na Kila Mwaka Katika Kipindi atakachokuwa na Klabu hiyo atakuwa akiingiza β¬22m kwa kila msimu ambayo Ni sawa na Tshs 56b… ππ.
#TransferNewsUpdates
@Sokawaytz_

credit: @sokawaytz…
MATOKEO YA SOKA JANA IJUMAA NA RATIBA YA HII LEO:
:
– Belgium – First Division A
FT Genk 2 – 1 Kortrijk
.
– International – Champions Cup.
FT Real Madrid 3 – 7 Atletico Madrid
.
– African Nations Championship – CHAN Qualification.
FT Djibouti 0 – 1 Ethiopia
FT Comoros 0 – 2 Namibia
FT Botswana 0 – 0 Zambia
.
– International – Club Friendlies.
FT K-League All Stars 3 – 3 Juventus
FT Freiburg 2 – 0 Kayserispor
FT Kasimpasa 3 – 2 Puskas FC Academy
FT Antalyaspor 0 – 0 Fatih Karagumruk
FT Freiburg 9 – 1 Kayserispor
FT Denizlispor 2 – 1 Eskisehirspor
FT Augsburg 2 – 6 Villarreal
FT 1. FC KΓΆln 3 – 1 Bologna
FT RasenBallsport Leipzig 2 – 0 Rennes
FT Nantes 0 – 1 Brest
FT NEC Nijmegen 2 – 1 RKC Waalwijk
FT ADO Den Haag 1 – 1 OH Leuven
FT Fleetwood Town 1 – 0 Preston North End
FT Nottingham Forest 2 – 2 Real Sociedad
FT West Bromwich Albion 0 – 0 AFC Bournemouth
:
RATIBA YA HII LEO JUMAMOSI:
– Netherlands – Super Cup.
19:00 Ajax
PSV Eindhoven
.
– Belgium – First Division A.
19:00 Cercle Brugge
Standard Liege
21:00 Zulte Waregem
KV Mechelen
21:00 St.Truiden
Royal Excel Mouscron
21:30 Waasland-Beveren
Club Brugge
.
– African Nations Championship – CHAN Qualification
16:00 Burundi
South Sudan
18:00 Somalia
Uganda
19:00 Guinea-Bissau
Mali
21:30 Cape Verde
Mauritania
#fixtures #Updates
@Sokawaytz_