Wachezaji waliotemwa kwenye timu ya taifa stars

credit: sports extra

Wachezaji walioachwa kwenye kikosi cha mwisho cha taifa Stars ❌Abdi Banda – Baroka FC

❌Shizya Kichuya – Pharco

❌Mwantika – Azam FC

❌Chilunda Shaaban – Tenerife

❌Kelvin John “Mbappe” – U17

❌Fred Tangalu – Lipuli

❌Suleiman Salula – Malindi

❌Claryo Boniface – U20

Kamusoko aitwa Kikosi cha Zimbabwe Afcon

credit: @sokawaytz…

– Hongera kwao Viungo mahiri, @kamusoko_13 na @tafadzwakutinyu kwa kuwepo katika Kikosi cha mwisho cha Wachezaji 23 ambao watapeperusha Bendera Zimbabwe katika fainali za Mataifa ya Afrika AFCON mwezi huu nchini Misri.. Vijana hao wa kocha Sunday wapo kundi La A pamoja na mataifa ya Uganda, DR Congo na wenyeji Misri.

#TotalAFCON2019 #AFCON2019

Breaking news Jonas Mkude ,Ajibu migomba waondolewa kwenye Kikosi cha timu ya taifa

credit: @sokaonline_…

Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars Emmanuel Amunike amewaondoa Jonas Mkude na Ibrahim Ajibu katika kikosi cha wachezaji 32 wanaosafiri kwenda Misri tayari kwa michuano ya #AFCON2019 .

.

Amunike amesema kigezo kilichotumika kuwaacha nyota hao ni perfomance yao mazoezini na nidhamu huku akisisitiza anajua watu wanamatamanio yao juu ya wachezaji fulani lakin nidhamu na utimamu wa viwango vyao katika mazoezi ni kipaumbele kikubwa ukiachana na Kapombe ambaye bado hajarudi kwenye ubora wake. .

.

Pia kocha huyo amewajumuisha makinda Kelvin John na Boniphace ili kuwapa uzoefu zaidi.

.

.

Wachezaji wengine walioachwa ni pamoja na Ayoub Lyanga, Ally Khamis, Kennedy Wilson na Shomari Kapombe