Brazil yaendeleza rekodi copa America

credit: @sports extra

– Brazil ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท haijafungwa goli katika Kila Mchezo kwenye games zao Tisa zilizopita za Copa America wakiwa nyumbani (W6, D3)… Mara ya mwisho wanaruhusu kufungwa goli nyumbani kwao katika Michuano Hii ni dhidi ya Venezuela ๐Ÿ‡ป๐Ÿ‡ช mwaka 1989.

.

– Brazil ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท Sasa imeifunga Nchi kutoka CONMEBOL kwa kwa ushindi wa Magoli 5+ katika Copa America kwa Mara ya kwanza tangu Robo fainali ya mwaka 2007…(6-1 v Chile ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฑ)..

#CopaAmericaUpdates

Nigeria yaipiga Burundi Afcon

credit: @sokawaytz…

FULL-TIME | Alexandria Stadium, ALEXANDRIA.. Ikiwa ni Michuano yao ya kwanza kabisa katika Historia Burundi wanaanza Kwa kupoteza.. Burundi wamecheza Soka saafi kabisa lakini Nigeria wamepata goli kutumia uzoefu wao wa Mashindano Baada ya kosa dogoo kufanywa na Beki wa Burundi.. Well Done Intamba m’Urugamba bila Shaka Nigeria hawakutegemea ๐Ÿ‘Š๐Ÿ‘๐Ÿ‘.

:

Nigeria ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ 1-0 ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ Burundi

[Odion Jude Ighalo 77mins]

#TotalAFCON2019 #AFCONUpdates

Mechi ya ufunguzi ya Afcon

credit: @sokawaytz…

๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰ Muda huu Dimba la Cairo International Stadium limejaaa… Mamia ya watazamaji wameingia na kujaza uwanja kutazama uzinduzi wa fainali za AFCON 2019 ambapo wenyeji Misri watakipiga dhidi ya The Warriors timu ya taifa ya Zimbabwe…

#AFCONUpdates

Mabingwa wa simba wamekamilisha usajili wa beki wao mbrazili

credit: @sokawaytz…

OFFICIAL!! Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Klabu ya Simba SC Imethibitisha kukamilisha usajili wa Mshambuliaji wa Kimataifa wa Brazil, Wilker Henrique Da Silva.

.

– Da Silva Wilker mwenye umri wa miaka 23 amejiunga na Simba SC kwa Mkataba wa Miaka Miwili akitokea klabu ya Bragantino ya nchini kwao Brazil…

#TPLTransferUpdates

@Sokawaytz