
Category: all
Kocha wa Senegal asema hawezi dharau mechi zake dhidi ya Tanzania na kenya

credit: @sokawaytz…
– Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Senegal, Aliou Cisse amesisitiza kwamba hawezi kudharau atakapo kuwa akicheza dhidi ya Kenya na Tanzania katika mechi za Kundi la C kwenye Kombe La Mataifa ya Afrika “AFCON” nchini Misri..
:
π£ “Senegal πΈπ³ na Algeria π©πΏ ni timu kubwa na nzuri sana katika kundi hili, lakini Kenya na Tanzania hawapaswi kupuuzwa.. Ninawaambia, Senegal haiogopi wala kuhofia timu yoyote” Alisema kocha huyo ambaye Pia amesisitiza mwanzo mzuri wa Mashindano ni Kushinda mechi ya kwanza na amewaandaa vijana wake kupambana dhidi ya Tanzania siku ya Jumapili katika game yao ya Ufunguzi.. #TotalAFCON2019
@Sokawaytz
Matokeo ya football jana na mechi za leo

credit: @sokawaytz…
MATOKEO YA SOKA JANA NA RATIBA YA LEO IJUMAA.
:
– Copa America – Group C.
FT Uruguay 2 – 2 Japan
.
– World Cup Women – Group E.
FT Cameroon 2 – 1 New Zealand
FT Netherlands 2 – 1 Canada
.
– World Cup Women – Group F.
FT Sweden 0 – 2 USA
FT Thailand 0 – 2 Chile
.
– CONCACAF – Gold Cup:: Group B.
FT Nicaragua 0 – 2 Haiti
74′ Costa Rica 2 – 1 Bermuda
.
– EURO U-21 – Group B.
FT Denmark U21 3 – 1 Austria U21
FT Germany U21 6 – 1 Serbia U21
:
RATIBA YA HII LEO.
– Copa America – Group C.
02:00 Ecuador
Chile
.
– Africa Cup of Nations – Group A.
23:00 Egypt
Zimbabwe
.
– EURI U-21 – Group C
19:30 England U21
Romania U21
22:00 France U21
Croatia U21
.
– CONCACAF – Gold Cup:: Group C.
02:00 El Salvador
Jamaica
04:30 Honduras
Curacao
.
– International – Club Friendlies.
14:00 AC Horsens
FC Helsingoer
16:00 FC Zuerich
Winterthur
β 16:00 Gwambina FC
Simba SC
18:00 Breitenrain
Xamax
18:30 Dinamo Moscow
Rudar Velenje
19:00 FC Wacker Innsbruck
Zenit St. Petersburg
19:00 Mattersburg
Kapfenberger SV
19:00 Young Boys
FC Rapperswil-Jona
20:30 KRC Gent
Gent.
#Updates #fixtures
@Sokawaytz
Wachezaji wa Zimbabwe wakubali kucheza mechi yao dhidi ya Egypt leo

credit: @sokawaytz…
– Wachezaji wa timu ya taifa ya Zimbabwe πΏπΌ wamekubali kucheza mchezo wao wa Ufunguzi wa fainali za AFCON 2019 dhidi ya Misri πͺπ¬ kesho usiku baada ya kukutana na Viongozi wa Soka wa nchini Zimbabwe.
:
– The Warriors walikatisha ghafla mazoezi yao jioni ya leo Sababu ya kutolipwa Posho zao na Bonasi ambazo walitakiwa kuanza kupewa tangu walipo ingia kambini na timu yao ya taifa… Walitishia kutocheza game ya kesho lakini Sasa mambo Shwarii ππ»ππ»..
#TotalAFCON2019
@Sokawaytz
Simba wapata Kifaa kipya toka Sudan

credit: @sokaonline_…
#Repost @simbasctanzania Kiungo Bora mara mbili mfululizo wa Ligi Kuu ya Sudan na mchezaji wa timu ya Taifa ya Sudan tangu akiwa na miaka 17 akitokea kwa mabingwa mara tatu mfululizo wa Ligi Kuu ya Sudan klabu ya Al Hilal, Sharaf Eldin Shiboub Ali Abdalrahman amejiunga na Mabingwa wa nchi kwa mkataba wa mwaka mmoja. Karibu Msimbazi Sharaf.
Matokeo ya jana na ratiba ya leo

credit: @sokawaytz…
MATOKEO YA SOKA JANA JUMATANO NA RATIBA YA HII LEO:.
:
– Copa America – Group B
FT Colombia 1 – 0 Qatar
FT Argentina 1 – 1 Paraguay
.
– World Cup Women – Group D
FT Japan 0 – 2 England
FT Scotland 3 – 3 Argentina
.
– CONCACAF – Gold Cup:: group A
FT Cuba 0 – 3 Martinique
FT Mexico 3 – 1 Canada
.
– International – Friendlies
FT Zambia 1 – 4 Ivory Coast
.
– Euro U-21 – Group A
FT Spain U21 2 – 1 Belgium U21
FT Italy U21 0 – 1 Poland U21
.
– U20 Tanzania PL – Nusu Fainali.
FT Azam FC 0 – 0 Yanga SC (Penalties 3-0).
FT Mtibwa Sugar 3 – 1 Simba SC
:
ππ RATIBA YA HII LEO ALHAMISI
– World Cup Women – Group E.
19:00 Cameroon
New Zealand
19:00 Netherlands
Canada
.
– World Cup Women – Group F.
22:00 Sweden
USA
22:00 Thailand
Chile
.
– Copa America – Group C
02:00 Uruguay
Japan
.
– CONCACAF – Gold Cup:: Group B
02:00 Nicaragua
Haiti
04:30 Costa Rica
Bermuda
.
– Euro U-21 – Group B.
19:30 Denmark U21
Austria U21
22:00 Germany U21
Serbia U21
#Updates #fixtures
@Sokawaytz
Video ya Afcon kundi la Tanzania
Tazama bwebwe za afcon katika kundi la Tanzania
Beki wa Kati wa azam mwantika amerudishwa nchini misri Kuziba pengo la agrey Moris alieumia

credit: @sokawaytz…
– Beki wa Klabu ya Azam FC, David Mwantika (Kushoto) amerudishwa nchini Misri tayari kuungana na kikosi cha Taifa Stars kuzipa pengo la Aggrey Morris aliyeumia katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Misri… Mwantika ni miongoni mwa wachezaji waliokatwa katika kikosi cha Awali kilichotajwa na kocha Emmanuel Amunike kujiandaa na Michuano ya AFCON..
#TotalAFCON2019
Timu za zimbabwe ili fanya mazoezi kujiandaa na Afcon

credit: @sokawaytz…
– The Warriors… Timu ya taifa ya Zimbabwe imeendelea na mazoezi yake ikiwa ni Maandalizi ya mwisho mwisho kabla ya Ijumaa hii kuzindua fainali za Mataifa ya #AFCON2019 dhidi ya Wenyeji Misri… Mashujaa hao wanafanya mazoezi ndani ya Dimba la El Sekka El Hadid Sadium..
#TotalAFCON2019
Klabu ya yanga imekamilisha usajili wa kalengo yoka zesco United

credit: @sokaonline_…
Deal Done. Klabu ya Yanga Sc imekamilisha usajili wa mshambuliaji Maybin Kalengo kutoka Zesco Utd kwa mkataba wa miaka miwili.








