Rais wa fifa aipongeza simba kwa kutwaa ubingwa mara mbili mfululizo

Rais wa FIFA, Gianni Infantino ametuma salamu za kutupongeza kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu 2018/2019.

Katika salamu hizo ambazo Infantino amezituma kupitia kwa Rais wa TFF, Wallace Karia, amesema amefurahishwa kusikia tumetwaa ubingwa kwa mara ya pili mfululizo. #NguvuMoja

credit: @simbasctanzania

Matokea ya jana ya mechi za mpira

MATOKEO YA SOKA JANA JUMATANO NA RATIBA YA HII LEO:.

:

– UEFA Europa League FINAL

FT 4 Chelsea 🏆

1 Arsenal

.

– International – Club Friendlies.

FT SpVgg Lindau 2 – 4 FC Bayern München

.

– World Cup U-20 – Group A.

FT Colombia U20 6 – 0 Tahiti U20

FT Senegal U20 0 – 0 Poland U20

.

– World Cup U-20 – Group B.

FT Ecuador U20 1 – 0 Mexico U20

FT Italy U20 0 – 0 Japan U20

.

– Africa – COSAFA:: Group A.

FT Comoros 2 – 1 Mauritius

.

– Kenya – Premier League.

FT Chemelil Sugar 1 – 0 SoNy Sugar

FT Gor Mahia 2 – 2 Mathare United

FT KCB 2 – 2 Zoo FC

FT Kariobangi Sharks 4 – 0 Vihiga United

FT Nzoia Sugar FC 2 – 2 Bandari

FT Sofapaka 2 – 0 Kakamega Homeboyz

FT Tusker FC 2 – 1 Posta Rangers

FT Western Stima 0 – 0 AFC Leopards

.

– South Africa – Premier League.

(qualification)

FT Royal Eagles 0 – 2 Maritzburg United

:

RATIBA YA HII LEO.

– International – Friendlies

21:00 Turkey

Greece

.

– International – Friendlies

(women)

18:45 Germany

Chile

.

– World Cup U-20 – Group C

19:00 New Zealand U20

Uruguay U20

19:00 Norway U20

Honduras U20

.

– World Cup U-20 – Group D

21:30 Nigeria U20

Ukraine U20

21:30 USA U20

Qatar U20

.

– Africa – COSAFA:: Group B

18:30 Mozambique

Malawi

18:30 Namibia

Seychelles

.

– Egypt – Premier League

23:00 El Zamalek

El Entag El Harby

23:00 El Hodood

Pyramids FC

#Updates

@Sokawaytz

credit: @sokawaytz

Kiungo wa zamani wa Barcelona xavi awa kocha mkuu wa al sadd sc nchini quatar

– Kiungo wa zamani wa Klabu ya FC Barcelona na timu ya taifa ya Hispania, Xavi Rasmi ametangazwa kuwa kocha mkuu wa Klabu ya ligi Kuu nchini Qatari , Al Sadd SC kwa Mkataba wa Miaka miwili.

.

– Xavi 39, amecheza game zaidi ya 100 akiwa na Al Sadd kabla ya kutangaza kustaafu mwishoni mwa msimu wa 2018-19, Miaka Mitatu tangu ajiunge na Klabu hiyo.

.

– Xavi, katwaa Ubingwa wa Kombe La Dunia 2010 akiwa na Hispania, Mataji Nane ya Laliga, Mataji Manne ya Champions League Kipindi akiwa na FC Barcelona… 👏👏👏

#Updates

@Sokawaytz

credit: @sokawaytz

Neymar avuliwa unahodha Brazil ,Daniel Alves apewa Kitambaa

– Siku Baada ya Kuvuliwa unahodha, Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Brazil, Neymar Jr ameondolewa katika Viwanja vya Mazoezi ya timu hiyo ya taifa Baada ya kupata Majeraha ya mguu wake wa kushoto.

.

– Kocha Tite alitangaza kumpa kitambaa cha unahodha Neymar mwaka jana, na Sasa ameamua kumvisha Dani Alves ambaye atawaongoza wenzake katika fainali za Copa America mwezi ujao wao wakiwa wenyeji.. Neymar alionekana kujilazimisha kufanya mazoezi lakini haikiwa nzuri na baadade Daktari wa timu hiyo ya taifa Rodrigo Lasmar alipoamua atolewe kwenda kufanyiwa uchunguzi zaidi..

#Updates

@Sokawaytz

credit: @sokawaytz

Kocha wa Ac Milan Gennaro Gattuso ajiudhulu

– Klabu ya AC Milan Imethibitisha kuwa, Gennaro Gattuso ameachana Rasmi na klabu hiyo Kama kocha Mkuu kwa Makubaliano maalumu; Gattuso ameiongoza Milan tangu Novemba 2017, uhamuzi huo kautoa Baada ya Klabu hiyo kushindwa kufuzu kushiriki Michuano ya @championsleague msimu ujao, wakimaliza nafasi ya tano katika Msimamo wa Serie A na kuangukia @europaleague.

.

– Gattuso 41; alisema hatma yake atatoa Baada ya Ligi kumalizika Baada ya game yao dhidi ya SPAL wakishinda 3-2, lakini ushindi wao haikuwafanya kuwashusha Wapinzani wao Inter Milan pamoja na Atalanta waliokuwa wakiwania nao nafasi mbili zilizosalia ukitoa Juventus na Napoli walijihakikishia kufuzu kwa muda mrefu.

.

– Kocha wa Monaco, Leonardo Jardim na kocha wa Lazio, Simone Inzaghi, Sasa wanatajwa kuchukua huenda mmoja wao akatua San Siro; Kwa Kuongeza, Milan Imethibitisha Kwa Mkurugenzi wao wa Michezo, Leonardo nae ametimka Baada ya msimu mmoja kudumu Klabuni hapo.. Anatajwa kutimkia Paris Saint-Germain ambako amewahi kufanya kazi hiyo kabla ya kutua Milan.

#Updates

@Sokawaytz

credit: @sokawaytz