Liverpool, Manchester United na Arsenal wanataka kumsaini mchezaji nyota wa Colombia James Rodriguez,27,ambaye anatarajiwa kuondoka Bayern Munich mkataba wake wa mkopo utakapokamilika msimu huu. (Mirror)
Rais wa Bayern Munich president Uli Hoeness amethibitisha kuwa mabingwa hao wa Bundesliga wanamtaka winga wa Manchester City Mjerumani Leroy Sane. (Suddeutsche Zeitung – in German)
City wanajiandaa kuweka dau la kumnunua nyota huyo wa miaka 23 kutoka kwa miamba hao wa ujerumani ambalo linatarajiwa kuvunja rekodi. (Mail)
Arsenal wanataka kumsaini winga Ryan Fraser, 25, baada ya fainali ya ligi ya Europa, lakini Bournemouth wanataka kulipwa £30m kumwachilia kiungo huyo wa kimataifa wa Uskochi. (Independent)
Tottenham wamewasiliana na Real Madrid ili kuanza mazungumzo ya kutaka kumnunua kiungo wa kati Marco Asensio, 23, lakini wameambiwa mchezaji huyo rai wa Uhispania hapatikani. (AS – in Spanish)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionMarco Asensio (Kulia)
Kocha wa Newcastle Rafael Benitez amewambia Marseille na Roma kuwa kipaumbele chake ni kukubali mkataba mpya St James Park baada ya wao ku kuonesha ari ya kutaka kumpatia kazi ya umeneja. (Chronicle)
Wachezaji Matteo Darmian, 29, Romelu Lukaku 26, Juan Mata, 31, na Marcos Rojo – huenda wakondoka Manchester United msimu huu(Mirror)
Inter Milan itatangaza ofa ya zaidi ya £30m winga wa Croatia winger Ivan Perisic, 30, ili kumnunua Lukaku. (Gazzetta dello Sport – in Italian)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionIvan Perisic
Manchester City wanataka £15m kumuuza kiungo wa kati Fabian Delph, huku vilabu kadhaa vya ligi ya Premier vikimnyatia nyota huyo wa miaka 29. (Sun)
Mshambuliaji wa Crystal Palace sChristian Benteke, 28, huenda akaondoka Selhurst Park msimu huu baada ya kukubali dau la £15m la kumnuuza nyota huyo wa kimataifa wa Ubelgiji kutoka klabu ya China ya Shandong Luneng Taishan. (Times – subscription required)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionChristian Benteke(Kulia)Napoli wanatarajiwa kumsaini beki wa kulia- kushoto wa Tottenham Kieran Trippier, 28, huku Mwingereza huyo akipewa idhini ya kukubali ofa nzuri. (Independent)
Manchester United wanatarajiwa kumsaini mshambuliaji mshambuliaji Dillon Hoogewerf baada ya kucheza mechi ua vijana wa Ajax. (Metro)
Arsenal ni moja ya vilabu vinavyofuatilia mchezo wa mshambuliaji Danny Loader, 18 raia wa Ungereza. (Goal)
Haki miliki ya pichaSNSImage captionKocha wa Leicester, Brendan Rodgers (Kulia)Meneja wa Leicester Brendan Rodgers anatathmini uwezekano wa kuungana tena na winga Patrick Roberts, ambaye alicheza chini yake wakati alipokua Celtic. (Sun)
Napoli wanatarajiwa kumsaini beki wa kulia- kushoto wa Tottenham Kieran Trippier, 28, huku Mwingereza huyo akipewa idhini ya kukubali ofa nzuri. (Independent)
Manchester United wanatarajiwa kumsaini mshambuliaji mshambuliaji Dillon Hoogewerf baada ya kucheza mechi ua vijana wa Ajax. (Metro)
Arsenal ni moja ya vilabu vinavyofuatilia mchezo wa mshambuliaji Danny Loader, 18 raia wa Ungereza. (Goal)
Haki miliki ya pichaSNSImage captionKocha wa Leicester, Brendan Rodgers (Kulia)Meneja wa Leicester Brendan Rodgers anatathmini uwezekano wa kuungana tena na winga Patrick Roberts, ambaye alicheza chini yake wakati alipokua Celtic. (Sun)
Nahodha wa zamani wa England na Chelsea John Terry, ambaye kwa sasa ni naibu meneja wa Aston Villa, anashauriana na Middlesbrough kuhusu uwezekano wa kuwa maneja wao mpya.(Talksport)
Manchester City wanakaribia kumsajili beki wa Ureno Joao Cancelo, 24, ambaye thamani yake inakadiriwa na Juventus kuwa euro milioni 60. (Record – in Portuguese)
Atletico Madrid na Napoli wanapania kumsajili beki wa kulia wa Tottenham na mchezaji wa kimataifa wa England Kieran Tripper, 28. (Mirror)
Spurs wameweka dau la £10m kumnunua winga wa Leeds United wa miaka 18, Muingereza Jack Clarke. (Mail)
Manchester United wanashughulikia mpango wa kumsaini Ivan Rakitic, 31, lakini Barcelona wanataka kulipwa uero milioni 48 kumwachilia nyota huyo wa kimataifa wa Croatia. (Record)
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionIvan Rakitic
United wanatarajiwa kuwasilisha dau la kwanza la £25m kumunua beki wa Crystal Palace, Aaron Wan-Bissaka, 21, lakini Eagles wanataka £50m kumwachilia mchezaji huyo. (Evening Standard)
Muargentina Sergio Romero, 32, huenda akapandishwa cheo kuwa kipa wa Manchester United ikiwa David de Gea, 28, ataondoka Old Trafford msimu huu wa joto. (Mail)
United tayari wamewasilisha rasmi ofa ya kumnunua kiungo wa kati wa Newcastle Sean Longstaff, 21. (ESPN)
Everton, West Ham na Manchester United wamepewa nafasi ya kumsaini kwa mkopo kiungo wa kati wa Uholanzi na Marseille Kevin Strootman, 29. (Sky Sports)
Haki miliki ya pichaREUTERSImage captionRomelu Lukaku
Antonio Conte anatarajiwa kusajili mshambuliaji wa Ubelgiji Romelu Lukaku, 26, kutoka Manchester United atakapoajiriwa kama meneja wa Inter Milan. (Times – subscription required)
Liverpool wanakaribia kukamilisha mpangowa £200,000 wa kumsajili kipa raia wa Poland Jakub Ojrzynski, 16, kutoka Legia Warsaw. (Liverpool Echo)
Wolves wanaongoza kinyang’anyiro cha kumsaini mshambuliaji Moussa Marega, 28 rai wa Mali ambaye thamani yake inakadiriwa kuwa £30m-kutoka Porto. (Mirror)
Haki miliki ya pichaBBC SPORT
Newcastle, Southampton na Brighton wote wanataka kusaini winga Harry Wilson, 22, lakini Liverpool wanataka kulipwa £25m kumwachilia nyota huyo wa kimataifa wa Wales. (Sky Sports)
Bournemouth wako tayari kupokea ofa ya kummuuza winga Jordon Ibe, 23 raia wa Uingereza. (Mirror)
Shirikisho la soka Ulimwenguni FIFA limetangaza kuwa imelazimika kuacha michuano ya World Cup 2022 itakayofanyika nchi Qatar kuwa na timu 32 na sio 48 kama ambavyo ilikuwa inatarajiwa awali, taarifa hizo rasmi zitatolewa June 5 2019 katika mkutano wa FIFA Paris Ufaransa.
Inaelezwa kuwa Qatar wamekuwa wakijipanga kuwa wenyeji wa timu 32 toka 2010 na hata maandalizi yao yalikuwa yanalenga kutumia viwanja nane vilivyoandaliwa tayari, hivyo kwa miaka mitatu iliyosalia Qatar hawezi kumudu ongezeko la timu kutoka 32 yaliokuwa matarajio yao hadi 48.
Rais wa FIFA Infantino
Hata hivyo wazo la timu 48 linabakia kuwa kama wazo litakaloanza kufanya kazi rasmi 2026 katika fainali za Kombe la Dunia litakalokuwa na wenyeji watatu United States, Canada na Mexico, sababu za kisiasa ndio zimeleta utata kwa Qatar kukubali ongezeko la timu na kuwa mwenyeji kwa ushirikiano na mataifa jirani.
⚽Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta amethibitisha kuwa ataondoka KRC Genk mwishoni mwa msimu huu, na kwamba klabu 6 za Uingereza na 2 za Hispania zinataka kumsajili, lakini amesema ndoto yake ni kucheza Uingereza.
. .. . . 👉Msimu huu @samagoal77 ameifungia Genk jumla ya magoli 32.
Kikosi cha Sevilla kimewasili jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo tayari kwa mchezo wa Kimataifa wa kirafiki dhidi ya mabingwa wa Tanzania Bara Simba
Sevilla ilikaribishwa nchini kwa burudani ya Msanii maarufu Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ aliyetumbuiza uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere wakati timu hiyo ilipowasili
Wapinzani wao Simba wanatarajiwa kurejea leo Dar kutoka mkoani Singida ambako jana walitwaa ubingwa wa ligi kuu kwa msimu wa pili mfululizo baada ya kuifunga Singida United mabao 2-0
Baada ya mchezo jana, Simba ilielekea mkoani Dodoma ambako leo inatarajiwa kuunganisha kwa usafiri wa Ndege kurudi jijini Dar es salaam
MATOKEO YA MECHI ZA JANA JUMATATU.
Serie A
FT 3 Lazio
3 Bologna
Ligi Kuu Bara.
FT 2 Biashara United
1 Ruvu Shooting
:
RATIBA YA MECHI ZA LEO:
– Ligi kuu Bara
16:00 Mbao FC
KMC FC
16:00 Singida United
Simba SC
.
– Egypt Premier League
23:00 Al Masry
El Entag El Harby
23:00 El Geish
Al Ittihad
23:00 ENPPI
Misr Lel Makasa
23:00 Smouha
Petrojet
23:00 Wadi Degla
Haras El Hodood
.
– International – Club Friendlies.
19:30 Beitar Jerusalem
Atletico Madrid
#Updates #sokawaytz
TANZIA: – Kocha mkuu wa Mabingwa wa Nigeria, Klabu ya Lobi Stars FC 🇳🇬, Solomon Ogbeide amefariki Dunia jioni ya leo, Kwa mujibu wa ripoti kutoka nchini Nigeria ni kwamba Ogbeide amefariki dunia kufuatia kuumwa kwa muda mfupi.
:
– Klabu ya Lobi Stars muda huu ipo Dimbani kucheza Mchezo wa Ligi dhidi ya Wikki Tourists , Baada Mchezo Klabu inatarajia kuthibitisha kifo cha kocha wao.
:
– Kocha huyo ametoka kuiongoza Klabu hiyo katika Michuano ya Klabu Bingwa Afrika ambapo wameishia hatua ya Makundi wakishika nafasi ya tatu na pointi zao Saba katika kundi A (W2,D1,L3).
RIP Ogbeide 💔
#Updates #nfpl
@Sokawaytz
Mshambuliaji wa klabu ya Juventus Cristiano Ronaldo jana amekabidhiwa tuzo yake ya kuwa Mchezaji Bora wa mwaka katika Ligi Kuu Nchini Italia “Serie A” msimu huu uliomalizika.
.
Nyota huyo amekuwa Mchezaji wa kwanza katika Historia kushinda tuzo ya Mchezaji bora wa mwaka katika Ligi kuu tatu tofauti Kati ya Ligi kubwa tano Barani Ulaya..