
HT: Aston Villa 1-0 Derby County
:
– Anwar El Ghazi ndio mfungaji wa goli La Aston Villa, Mmorocco huyo kafunga Dakika ya 44.. Ikumbukwe hii ni fainali ya Playoff na mshindi anapanda kucheza @premierleague msimu ujao..
#Updates
credit: @sokawaytz


HT: Aston Villa 1-0 Derby County
:
– Anwar El Ghazi ndio mfungaji wa goli La Aston Villa, Mmorocco huyo kafunga Dakika ya 44.. Ikumbukwe hii ni fainali ya Playoff na mshindi anapanda kucheza @premierleague msimu ujao..
#Updates
credit: @sokawaytz


– Klabu ya Stoke City Inayoshiriki Championship nchini England, Imethibitisha kusitisha Mkataba na Mshambuliaji wake, Saido Berahino; Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 25 ambaye alikutwa na kosa La Ulevi akiwa anaendesha gari mwezi huu na kufungiwa kuendesha vyombo vya Moto Uingereza, na kupigwa faini ya £75,000 na Mahakama ya Highbury Corner Magistrates.
:
– Mnamo Januari 2017, Berahino alijiunga na Stoke kutokea West Bromwich Albion kwa ada ya uhamisho £12m na alisaini Mkataba wa miaka Mitano, Amecheza michezo 51 ya ligi akifunga magoli matatu; Tangu akutwe na Makosa ya Ulevi hajawahi tena kupangwa katika kikosi cha timu yake mpaka walipotoa taarifa ya kuvunja Mkataba uliokuwa umalizike 2022.
:
– Mwezi ujao, Berahino atatarajiwa kuwa sehemu ya Kikosi cha Burundi katika Mechi za Mataifa ya Afrika AFCON 2019 nchini Misri..Vijana hao wa kocha Olivier Niyungeko wamepangwa kundi B, ambapo watacheza na Nigeria Juni 22 kabla ya kucheza Madagascar siku tano baadaye na kumaliza na Guinea siku ya Juni 30..
#Updates
@Sokawaytz
credit: @sokawaytz






Gazeti la The Mirror limeripoti kwamba kocha wa zamani wa Man United, Sir Alex Ferguson alikuwa anataka Club hiyo iimpe kazi ya ukocha wa Club hiyo Mauricio Pochettino badala ya Solskjaer, inaelezwa pia Furguson ‘anaumia’ vile ambavyo Mabosi wa United hawafuati tena maoni yake. #GlobalPublishersUpdates
VALENCIA MABINGWA WA COPA DEL REY 2018/19
.
Full Time : Barcelona 1-2 Valencia
. | Messi 73’ | Gameiro 21’ Rodrigo 33’|
credit: @worldsport_14
Breaking | N’golo Kante mbioni kuukosa mchezo wa fainali ya Europa League dhidi ya Arsenal baada ya kuumia kifundo cha mguu akiwa mazoezini leo..
credit: @sokaonline_
– Kwa mujibu wa @skysports, Klabu ya Manchester United Imejitoa katika mbio za kumuwania Beki na nahodha wa Klabu ya Ajax, Matthijs de Ligt.
.
– 
Kwa mujibu wa vyanzo, United ilikuwa tayari kutoa £65m kuinasa saini ya Beki huyo wa timu ya taifa ya Uholanzi mwenye umri wa miaka 19; United imejitoa rasmi kumuwania De Ligt, hivyo kuna uwezekana mkubwa kwa nyota huyo kujiunga na Mabingwa wa Hispania Klabu ya FC Barcelona..
#transfers
credit: @sokawaytz
Klabu ya Benfica imesema haitamuuza nyota wake Joao Felix chini ya dau la £105m msimu huu (Daily Mail) .
Felix anawaniwa na vilabu ya Man United pamoja na Man City
Lionel Messi ameweka rekodi kadhaa ambazo duniani hakuna kiumbe kiliwahi kufanya hivyo labda huko Pluto.
🎯hat-trick ya Ballon d’Or,
🎯Hattrick ya Bouta de Or (Golden Shoe)
🎯Hattrick ya Pitchichi Trophy.
:
Nani kama Messi?
Yawezekana na wewe ulikuwa na wasiwasi kuwa Thomas Tuchel angetimuliwa?
:
Hapana. PSG wamemuongezea mkataba mpaka 2021. Licha ya matokeo dhaifu bado wana imani na uwezo wake. Labda nao wamechoshwa na tabia ya kutimua wakufunzi hovyo.
:
💉PSG walipoteza jumla ya mechi 4 ya Ligue 1 kwa misimu miwili 2017 & 2018
💉PSG wamepoteza jumla ya mechi 5 za Ligue 1 ndnai ya msimu mmoja tu 2019
::
✍️Takwimu zake kwa ujumla
– Mechi: 55
– Ushindi: 40
– Vipigo: 9
– Mataji: 2