
Category: michezo
Zzyech atamba kuisaidia morocco leo thidi ya Namibia

credit: @supersporttv…
@hziyech lit up Europe, can be light up Africa now 🇲🇦⭐️
Raphael Benitez ataka kuondoka necastle United

credit: @sports extra
– Kocha Mkuu wa Klabu ya Newcastle, Rafa Benitez anajiandaa kuondoka mkataba wake utakapokwisha mwishoni mwa juma lijalo (Jumapili)… kuondoka kwake kukichagizwa na uhusiano mbovu kati yake na mmiliki wa klabu… Mtaaluma huyo Pia kapewa ofa ya kupokea Mshahara wa £6m kwa mwaka kusalia na Klabu hiyo..(@mailfootball).
#transfersUpdates
Daniel Alves ataka kuondoka Paris sant Germany

credit: @sports extra
Kwa mujibu wa Skysports, mlinzi wa kulia wa PSG Dani Alves amethibitisha kuwa ataondoka klabuni hapo katika kipindi hiki cha usajili kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa League 1.
Ratiba ya mechi za Afcon leo

Tanzania itajishusha dimbani kukipiga na senegal Majira ya saa 2 usiku ,huku jirani zao Uganda Wakiwa Tayari wameshinda mechi ya kwanza na Burundi kufungwa mechi yao ya kwanza dhidi ya Nigeria
Brazil yaendeleza rekodi copa America

credit: @sports extra
– Brazil 🇧🇷 haijafungwa goli katika Kila Mchezo kwenye games zao Tisa zilizopita za Copa America wakiwa nyumbani (W6, D3)… Mara ya mwisho wanaruhusu kufungwa goli nyumbani kwao katika Michuano Hii ni dhidi ya Venezuela 🇻🇪 mwaka 1989.
.
– Brazil 🇧🇷 Sasa imeifunga Nchi kutoka CONMEBOL kwa kwa ushindi wa Magoli 5+ katika Copa America kwa Mara ya kwanza tangu Robo fainali ya mwaka 2007…(6-1 v Chile 🇨🇱)..
#CopaAmericaUpdates
Balama mapinduzi asaini yanga akitokea alliance

credit: @sokawaytz…
– 🆕 7⃣… Balama Mapinduzi kapewa jezi namba Saba ambayo ataitumia ndani ya Klabu yake mpya ya Yanga SC.. Kiungo huyo katua Jangwani akitokea Alliance FC ya jijini Mwanza..
#TPLTransferUpdates
Emanuel okwi Amefanikiwa kachukua tuzo ya man of the match thidi ya Dr Congo

credit: @emmanuelokwi…
Thank you all for lifting us. It is because of your support that we fly. And this award goes to the whole team. One Team One Dream #EO7 #GODABOVEALL #TOQUITISNOTANOPTION
Nigeria yaipiga Burundi Afcon

credit: @sokawaytz…
FULL-TIME | Alexandria Stadium, ALEXANDRIA.. Ikiwa ni Michuano yao ya kwanza kabisa katika Historia Burundi wanaanza Kwa kupoteza.. Burundi wamecheza Soka saafi kabisa lakini Nigeria wamepata goli kutumia uzoefu wao wa Mashindano Baada ya kosa dogoo kufanywa na Beki wa Burundi.. Well Done Intamba m’Urugamba bila Shaka Nigeria hawakutegemea 👊👏👏.
:
Nigeria 🇳🇬 1-0 🇧🇮 Burundi
[Odion Jude Ighalo 77mins]
#TotalAFCON2019 #AFCONUpdates
Uganda watatoboa dhidi ya Congo leo

credit: @afcon2019…
GROUP A
FIXTURE: ⚽
DR Congo vs Uganda
TIME: ⌚
16:30pm
VENUE: 🏟
Cairo International Stadium
#Afcon2019









