
credit: @sokaonline_…
Klabu ya Zesco Utd rasmi imeanza harakati za kuinasa saini ya golikipa aliyeachana na Yanga Beno Kakolanya ikiwa ni pendekezo la kocha wa timu hiyo George Lwandamina. .
.
Lwandamina ameithibitishia @sokaonline_ kuwa ni kweli anamhitaji kwa kuwa anatambua uwezo wake tangu akiwa Yanga hivyo endapo watafikia makubaliano basi atahakikisha anatua klabuni hapo. .
.
Lakini huenda Zesco Utd wakapata wakati mgumu kumpata kutokana na Simba Sc nao kuhitaji huduma yake.



















