![]()
credit: @sports extra
Klabu ya Manchester Utd ipo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo wa Newcastle Sean Longstaff kwa dau la £25m (Daily Mirror)
![]()
credit: @sports extra
Klabu ya Manchester Utd ipo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa kiungo wa Newcastle Sean Longstaff kwa dau la £25m (Daily Mirror)


credit: @sokawaytz…
– Mshambuliaji wa Barcelona na timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi ndiye Mwanamichezo anaelipwa mkwanja zaidi duniani, akijiingizia $127m (£99.8m) katika miezi 12 iliyopita, kulingana na takwimu zilizo tolewa na Forbes; Nyota wa Juventus ya Ureno, Cristiano Ronaldo ni wa pili akijiinguzia $109m (£85.6m) na Mbrazili wa Paris St-Germain, Neymar anafuatia wa tatu kwa $105m (£82.5m).
.
– Kinara wa mwaka jana alikuwa ni Mwana masumbwi, Floyd Mayweather ambaye ameshuka katika orodha hii; Mcheza Tennis, Serena Williams ni mwanamke pekee aliye juu top 100, akipata dola 29.2m (£22.9m)…Bingwa Mara tano wa Dunia wa mbio za Magari ya Langa langa “Formula 1”, Lewis Hamilton na bingwa wa zamani wa uzito wa Juu katika Ndondi, Anthony Joshua ndio wanaopata mkwanja Mrefu Kama Wanamichezo wa Uingereza wakiwa nafasi ya 13 wakijiinguzia $55m (£43.2m).
.
– Gazeti hilo La biashara la Marekani limehesabu mapato ya wanamichezo na kuongeza fedha zao za mshahara kati ya Juni 2018 na Juni 2019.. Top 100 ni pamoja na wanamichezo kutoka nchi 25 na $4bn (£3,1bn) ndio mapato yao kwa pamoja yakiongezeka kwa 5% kutoka mwaka uliopita, wakati Mayweather alikuwa kinara mwa $285m (£224m).
.
– Messi ni Mchezaji wa Soka wa nane tofauti kuchukua nafasi ya kwanza katika Orodha hii ambapo takwimu zake zilianza rasmi mwaka 1990.. Pia ni mara ya kwanza kwamba ni wanasoka wote wameshikilia tatu bora…Messi ni mmoja Kati ya Wanamichezo 38 wasiokuwa Raia wa kwenye orodha… Paul Pogba kiungo wa Manchester United ni mchezaji Anaeongoza kutoka Ligi Kuu Uingereza akiwa katika nafasi ya 44 akijiingizia $33m (£25.9m).
✋🏻 TOP 10 inasimama hivii
1. Lionel Messi $127m (£99.8m)
2. Cristiano Ronaldo $109m (£85.6m)
3. Neymar $105m (£82.5m)
4. Canelo Alvarez $94m (£73.8m)
5. Roger Federer $93.4m (£73.3)
6. Russell Wilson $89.5m (£70.3m)
7. Aaron Rodgers $89.3m £70.1m)
8. LeBron James $89m (£69.9m)
9. Stephen Curry $79.8m (£62.7m)
10. Kevin Durant $65.4m (£51.3m)..
#Updates #forbessportsmoney #forbes
@Sokawaytz

credit: @sokawaytz…
FULL-TIME; Kutoka Dimba La Borg El Arab.. Wenyeji Misri wanaibuka na Ushindi Mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Tanzania.. Ulikuwa ni Mchezo wa kutest Mitambo, game nzuri imemalizika salamaa… Taifa Stars kabla ya kuanza kibarua cha AFCON watacheza game nyingine ya kirafiki dhidi ya Zimbabwe..
:
Misri 🇪🇬 1-0 Tanzania 🇹🇿
#PreAfcon #TotalAFCON2019 #EGYTAN

Winga wa Chelsea ya England Eden Hazard amekamilisha vipimo vya afya ili kujiunga na club ya Real Madrid ya nchini Hispania

credit: @afcon2019…
FACT – The most successful country has been Egypt with 7 titles followed by Cameroon (5), Ghana (4), Nigeria (3) and the Democratic Republic of Congo and the Ivory Coast (2 each).
#AFCON2019

credit: @sokawaytz…
– Kiungo bora wa kati na kipenzi cha Wanasimba, Jonas Gerald Mkude ni rasmi sasa kuwa ataendelea kuwa sehemu kikosi cha Mabingwa hao wa Tanzania @simbasctanzania baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuwatumikia..
#Updates #transfers


credit: @sokawaytz…
– Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Emmanuel Amunike, amesema kuwa anaamini kuwa kushinda mechi ya ufunguzi katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika “AFCON” zitasababisha mafanikio kwenye Mashindano hayo kwani kutakuwa na nguvu ya kushinda mechi zinazofuata.
.
– Taifa Stars Imepangwa kuanza na Senegal katika Mchezo wa kwanza wa Kundi la C na legend huyo wa Nigeria anaamini matokeo ya ushindu yataamua muendelezo wa timu katika mashindano huko Misri.
:
🗣 “Tutafungua kampeni yetu ya AFCON dhidi ya Senegal. Kwangu mimi, Senegal ni timu bora Afrika hadi sasa ina wachezaji wengi wazuri, lakini bado tuna wachezaji wetu wazuri ambao wanaweza kuleta matokeo yaliyoridhisha”.
.
🗣 “Unapoingia katika mashindano haya, unapaswa kupata matokeo mazuri ya kwanza ili upate na hakika ya kufanya vizuri na hivyo ndio tutakavyolenga dhidi ya Senegal, kushinda mechi yako ya kwanza katika Mashindano yoyote husaidia sana kuimarisha timu mbele ya mechi nyingine zinazokuja” Amunike aliwaambia Waandishi wa Habari kambini jijini Aleksandria..
#Updates
@Sokawaytz

credit: @afcon2019…
FACT – Cameroonian striker Samuel Eto’o is the leading overall African Cup of Nations scorer, scoring 18 goals in six tournaments between the years 2000 and 2010. #AFCON2019

credit: sports extra
Wachezaji walioachwa kwenye kikosi cha mwisho cha taifa Stars ❌Abdi Banda – Baroka FC
❌Shizya Kichuya – Pharco
❌Mwantika – Azam FC
❌Chilunda Shaaban – Tenerife
❌Kelvin John “Mbappe” – U17
❌Fred Tangalu – Lipuli
❌Suleiman Salula – Malindi
❌Claryo Boniface – U20