Kagere kutimkia zamalek

credit: @sports pesa

#Usajili Mshambuliaji wa klabu ya Simba Sc Meddie Kagere amemalizana na klabu ya Zamalek kuhusu masuala binafsi ili kujiunga nayo msimu ujao ambapo klabu hiyo ya Misri imekubali kulipa kiasi cha Bilioni 1.2 kwenda kunako klabu ya Simba Sc. .

.

Endelea kuwa nasi kwa taarifa zaidi.

Matokeo ya jana na ratiba ya mechi za leo

credit: @sokawaytz…

RATIBA YA HII LEO JUMAPILI NA MATOKEO YA JANA JUMAMOSI:

:

– Copa America – Group A.

FT Venezuela 0 – 0 Peru

– Copa America – Group B.

FT Argentina 0 – 2 Colombia

.

– World Cup Women – Group E

FT Netherlands 3 – 1 Cameroon

FT Canada 2 – 0 New Zealand

.

– CONCACAF – Gold Cup:: Group A.

FT Canada 4 – 0 Martinique

FT Mexico 7 – 0 Cuba

.

– International – Friendlies.

FT Indonesia 6 – 0 Vanuatu

FT Uganda 1 – 0 Ivory Coast

FT Ghana 0 – 0 South Africa

FT Kenya 1 – 1 DR Congo

.

– World Cup U-20 – FINAL 🏆

FT Ukraine U20 3 – 1 South Korea U20

:

RATIBA ZA HII LEO JUMAMOSI..

– Copa America – Group B.

22:00 Paraguay

Qatar

.

– Copa America – Group C.

01:00 Uruguay

Ecuador

.

– World Cup Women – Group F .

16:00 Sweden

Thailand

19:00 USA

Chile

.

CONCACAF – Gold Cup:: group B.

01:00 Haiti

Bermuda

03:30 Costa Rica

Nicaragua

.

– International – Friendlies.

19:00 Egypt

Guinea

19:30 Morocco

Zambia

20:00 Tanzania

Zimbabwe

20:45 Nigeria

Senegal

21:00 Algeria

Mali

.

– UEFA EURO U-21 – Group A.

19:30 Poland U21

Belgium U21

22:00 Italy U21

Spain U21

#Updates

@Sokawaytz

Mchezaji wa mtibwa sugar nickson kibabage amesaini mkataba wa miaka 4 kuitumikia timu Difaa El jadida ya Morocco

credit: @sokawaytz…

– Mchezaji wa Klabu ya Mtibwa Sugar, Nickson Kibabage, amesaini mkataba wa miaka minne (4) Kuitumikia klabu ya Difaa El Jadida ya Ligi Kuu Nchini Morocco… Kibabage anaungana na Mtanzania mwingine kwenye timu hiyo ambaye ni nyota wa Taifa Stars, Simon Msuva.

:

– Kibabage anaweza kucheza kama Mlinzi wa kushoto au winga wa kushoto, nafasi zote huzimudu vizuri akiwa na timu za taifa mwanzo U17 na Sasa yupo U20 na U23..

#transfers

Hazard siwez lazimisha kuvaa jezi number 10 wala kupiga penati

credit: @sokawaytz…

– Eden Hazard amesema kuwa yeye hajali juu kutovaa jezi namba 10 au kutokuwa na majukumu ya kupiga mikwaju ya penalti katika Klabu yake mpya ya Real Madrid; Mshambuliaji huyo wa Kimataifa wa Ubelgiji alijiunga na Blancos kwa €100 (£88m / $112m) kutoka Chelsea wiki iliyopita.

.

— “Nimezungumza na Modric kwa kupitia kwa Kovacic, nikamuuliza kama angeweza kuniachia Mimi jezi No.10, alisema hapana, ni lazima nitafute namba nyingine,” alisema Hazard.

.

— Nyota huyo Pia aliongeza kuwa “Kwangu mimi namba 10 ya jezi si muhimu, lakini kucheza na jezi hii, na nembo hii inatosha”.

.

– Hazard pia amesema hatolazimisha kutaka kuchukua penati ili apige yeye ndani ya Real Madrid, kwani kawakuta wapiga wengine wengi wa penati ndani ya Klabu… Sergio Ramos msimu uliopita alipiga penati Nane Kati ya 12 za Klabu hiyo, Karim Benzema akipiga penati tatu na Gareth Bale akipiga penati moja..

#Updates

@Sokawaytz

Kibabage amfuata Msuva difaa Morocco

credit: @simbamakini…

KIBABAGE AMFUATA MSUVA DIFAA

Mlinzi wa kushoto wa Mtibwa Sugar, Nickson Kibabage amesaini mkataba wa miaka minne kuitumikia klabu ya Difaa El Jadida ya Morocco ambayo anachezea Mtanzania, Simon Msuva.

Kibabage aling’ara na kuonekana akiwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya vijana chini ya miaka 17 ‘Serengeti Boys’ kilichoshiriki michuano ya Afcon nchini Gabon mwaka 2017.

Source: Boiplus Media