
credit: @sports extra …
Rekodi ya Maurizio Sarri akiwa kocha wa Chelsea
Games: 63
Wins: 40
Draws: 11
Defeats: 12 🥇 Europa League 🏆
🥈 Carabao Cup
🥉 Premier League
#transfers

credit: @sports extra …
Rekodi ya Maurizio Sarri akiwa kocha wa Chelsea
Games: 63
Wins: 40
Draws: 11
Defeats: 12 🥇 Europa League 🏆
🥈 Carabao Cup
🥉 Premier League
#transfers

credit: @sports pesa
#Usajili Mshambuliaji wa klabu ya Simba Sc Meddie Kagere amemalizana na klabu ya Zamalek kuhusu masuala binafsi ili kujiunga nayo msimu ujao ambapo klabu hiyo ya Misri imekubali kulipa kiasi cha Bilioni 1.2 kwenda kunako klabu ya Simba Sc. .
.
Endelea kuwa nasi kwa taarifa zaidi.

credit: @sokaonline_…
Official | CLIFF BUYOYA ameongeza mkataba wa mkataba wa miaka mitatu (3) kuendelea kuitumikia KMC.


credit: @sokawaytz…
RATIBA YA HII LEO JUMAPILI NA MATOKEO YA JANA JUMAMOSI:
:
– Copa America – Group A.
FT Venezuela 0 – 0 Peru
– Copa America – Group B.
FT Argentina 0 – 2 Colombia
.
– World Cup Women – Group E
FT Netherlands 3 – 1 Cameroon
FT Canada 2 – 0 New Zealand
.
– CONCACAF – Gold Cup:: Group A.
FT Canada 4 – 0 Martinique
FT Mexico 7 – 0 Cuba
.
– International – Friendlies.
FT Indonesia 6 – 0 Vanuatu
FT Uganda 1 – 0 Ivory Coast
FT Ghana 0 – 0 South Africa
FT Kenya 1 – 1 DR Congo
.
– World Cup U-20 – FINAL 🏆
FT Ukraine U20 3 – 1 South Korea U20
:
RATIBA ZA HII LEO JUMAMOSI..
– Copa America – Group B.
22:00 Paraguay
Qatar
.
– Copa America – Group C.
01:00 Uruguay
Ecuador
.
– World Cup Women – Group F .
16:00 Sweden
Thailand
19:00 USA
Chile
.
CONCACAF – Gold Cup:: group B.
01:00 Haiti
Bermuda
03:30 Costa Rica
Nicaragua
.
– International – Friendlies.
19:00 Egypt
Guinea
19:30 Morocco
Zambia
20:00 Tanzania
Zimbabwe
20:45 Nigeria
Senegal
21:00 Algeria
Mali
.
– UEFA EURO U-21 – Group A.
19:30 Poland U21
Belgium U21
22:00 Italy U21
Spain U21
#Updates
@Sokawaytz

credit: @sokawaytz…
– Mchezaji wa Klabu ya Mtibwa Sugar, Nickson Kibabage, amesaini mkataba wa miaka minne (4) Kuitumikia klabu ya Difaa El Jadida ya Ligi Kuu Nchini Morocco… Kibabage anaungana na Mtanzania mwingine kwenye timu hiyo ambaye ni nyota wa Taifa Stars, Simon Msuva.
:
– Kibabage anaweza kucheza kama Mlinzi wa kushoto au winga wa kushoto, nafasi zote huzimudu vizuri akiwa na timu za taifa mwanzo U17 na Sasa yupo U20 na U23..
#transfers

Mfungaji bora wa uganda premier legue Juma bulinya amekamilisha usajili wake katika klabu ya Yanga tanzania ..@sports extra

credit: @sports extra
– Kikosi cha Taifa Stars kwenye mazoezi yaliyofanyika leo asubuhi kujiandaa na mashindano ya AFCON yatakayoanza Juni 21,2019.. Kabla ya kuanza kwa AFCON Timu @taifastars_ kesho itacheza Mchezo wa Kirafiki na Zimbabwe kwa ajili ya maandalizi ya Michuano Hiyo..
#TotalAFCON2019 #AFCON2019

credit: @sokawaytz…
– Eden Hazard amesema kuwa yeye hajali juu kutovaa jezi namba 10 au kutokuwa na majukumu ya kupiga mikwaju ya penalti katika Klabu yake mpya ya Real Madrid; Mshambuliaji huyo wa Kimataifa wa Ubelgiji alijiunga na Blancos kwa €100 (£88m / $112m) kutoka Chelsea wiki iliyopita.
.
— “Nimezungumza na Modric kwa kupitia kwa Kovacic, nikamuuliza kama angeweza kuniachia Mimi jezi No.10, alisema hapana, ni lazima nitafute namba nyingine,” alisema Hazard.
.
— Nyota huyo Pia aliongeza kuwa “Kwangu mimi namba 10 ya jezi si muhimu, lakini kucheza na jezi hii, na nembo hii inatosha”.
.
– Hazard pia amesema hatolazimisha kutaka kuchukua penati ili apige yeye ndani ya Real Madrid, kwani kawakuta wapiga wengine wengi wa penati ndani ya Klabu… Sergio Ramos msimu uliopita alipiga penati Nane Kati ya 12 za Klabu hiyo, Karim Benzema akipiga penati tatu na Gareth Bale akipiga penati moja..
#Updates
@Sokawaytz

credit: @simbamakini…
KIBABAGE AMFUATA MSUVA DIFAA
Mlinzi wa kushoto wa Mtibwa Sugar, Nickson Kibabage amesaini mkataba wa miaka minne kuitumikia klabu ya Difaa El Jadida ya Morocco ambayo anachezea Mtanzania, Simon Msuva.
Kibabage aling’ara na kuonekana akiwa katika kikosi cha timu ya Taifa ya vijana chini ya miaka 17 ‘Serengeti Boys’ kilichoshiriki michuano ya Afcon nchini Gabon mwaka 2017.
Source: Boiplus Media