
credit: @sokaonline_…
Deal Done. Klabu ya Yanga Sc imekamilisha usajili wa mshambuliaji Maybin Kalengo kutoka Zesco Utd kwa mkataba wa miaka miwili.

credit: @sokaonline_…
Deal Done. Klabu ya Yanga Sc imekamilisha usajili wa mshambuliaji Maybin Kalengo kutoka Zesco Utd kwa mkataba wa miaka miwili.

credit: @sokaonline_…
Beki wa kati Kennedy Wilson Juma amesaini mkataba wa miaka miwili Simba Sc akitokea Singida Utd .

credit: @sokaonline_…
Klabu ya Azam Fc imethibitisha kuwa imeachana na wachezaji wake 8 baada ya kumaliza mikataba yao. .
.
Wachezaji hao ni:
.
Obrey Chirwa
.
Daniel Lyanga
.
Joseph kimwaga.
.
Enock Atta
.
Ramadhani Singano.
.
Steven Kingue.
.
Hassan Mwasapili na Tafadzwa Kutinyu

credit: @sokaonline_…
Klabu ya Real Madrid imemtambulisha kinda wao mpya Rodrygo Goes (18) waliyemsajili kutoka Santos ya Brazil. .
.
New Neymar Jr.

credit: @sports extra
Nahodha msaidizi wa klabu ya Simba Sc Mohamed Hussein amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia klabu hiyo kwa mara nyingine. .
.
Beki huyo alisaini kabla ya safari ya kuelekea Misri kwenye majukumu ya timu ya Taifa.

credit: @sports extra _…
Klabu ya SS Lazio ya Italy ipo tayari kutoa kiasi cha €16m ambacho ni sawa na bilioni 40 ili kupata saini ya nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta anayekipiga KRC Genk ya Ubelgiji. .
.
Kwa mujibu wa ripoti kutoka kwenye mtandao wa The Laziali wa nchini humo umeripoti kuwa tayari klabu hiyo imeliweka jina la Samatta kwenye orodha ya wachezaji itakaowasaka kwa namna yoyote kuhakikisha inapata saini yake. .
.
Dau hilo huenda likawa na nguvu kubwa hasa baada ya baadhi ya timu za uingereza kumhitaji Samatta kwa dau dogo ambalo ni €12m

credit: @sports extra..
HIVI PUNDEE!!.
– Kiungo wa klabu ya Manchester United, Paul Pogba amethibitisha kuwa ataondoka ndani ya klabu ya Manchester United na kwenda kutafuta changamoto nyingine tofauti na Manchester.
:
— “Kwangu mimi, nimekuwa kwa miaka mitatu hapa Manchester na nimekuwa nikifanya vizuri; nimepitia changamoto nzuri na changamoto mbaya ndani yake..
— “Baada ya msimu huu na kila kitu kilichotokea msimu huu, ni msimu wangu bora pia … Nadhani kwangu inaweza kuwa wakati mzuri wa kuwa na changamoto mpya mahali pengine…. “Ninafikiria hili: kuwa na changamoto mpya mahali pengine.”
:
– Mfaransa huyo Aliwasili Manchester United akitokea klabu ya Juventus mwaka 2016, tangu hapo mpaka Sasa amefunga mabao 31 na kutoa assist 29..
#Updates #transfers

credit: @sports extra …
Rekodi ya Maurizio Sarri akiwa kocha wa Chelsea
Games: 63
Wins: 40
Draws: 11
Defeats: 12 🥇 Europa League 🏆
🥈 Carabao Cup
🥉 Premier League
#transfers

credit: @sports pesa
#Usajili Mshambuliaji wa klabu ya Simba Sc Meddie Kagere amemalizana na klabu ya Zamalek kuhusu masuala binafsi ili kujiunga nayo msimu ujao ambapo klabu hiyo ya Misri imekubali kulipa kiasi cha Bilioni 1.2 kwenda kunako klabu ya Simba Sc. .
.
Endelea kuwa nasi kwa taarifa zaidi.

credit: @sokaonline_…
Official | CLIFF BUYOYA ameongeza mkataba wa mkataba wa miaka mitatu (3) kuendelea kuitumikia KMC.