Ratiba ya mechi ya leo #TanzaniaPremierLeague
Category: yanga
Mazoezi ya mwisho kabla ya kuikabili Kagera Sugar

Mchezo huo utapigwa kesho Alhamisi katika dimba hilo
Kocha Mkuu wa mabingwa hao wa kihistoria Mwinyi Zahera amesema mazoezi waliyofanya tangu jana yalikuwa ya kuondoa uchovu kwa wachezaji wake
Amesema ana matarajio kuwa vijana wake watakuwa sawa katika mchezo wa kesho baada ya kuwapa mazoezi hayo maalum








Hii ndio kadi rasmi ya kuichangia Yanga
Tahadhari, asitokee mtu akakupa Kadi ili umpe fedha taslimu. Akikupa Kadi nenda kaweke Pesa Bank then mpatie Deposit Slip.
Hii ni kwa wale wanaochangia kuanzia Milioni Moja kupitia mfumo wa Kadi. Ukishadeposit tuma slip kwa namba 0716 881512
Matukio katika picha : Yanga ilivyoifumua African Lyon

Matokeo hayo yameiweka African Lyon matatani kwani itahitaji muujiza ili iweze kubaki ligi kuu msimu ujao
Picha za matuko mbalimbali katika mchezo huo;








Yanga hakuna kulala, yajifua kuikabili Kagera Sugar

Kikosi cha Yanga leo kimeendelea na mazoezi katika uwanja wa CCM Kirumba kujiandaa na mchezo huo
Kocha Mwinyi Zahera amesema watahakikisha wanashinda michezo yote nane iliyobaki ili kujiwekea mazingira ya kutwaa ubingwa kwani anaamini upo uwezekano mkubwa kwa Simba kupoteza baadhi ya michezo kutokana na ugumu wa ratiba itakayowakabili kama TFF haitawapendelea
Hawa hapa waliochukua fomu za kuwania uongozi Yanga
Wagombea 28 walichukua na kurudisha fomu ndani ya muda uliopangwa
Hii hapa orodha ya wagombea wote kulingana na nafasi zao;
MWENYEKITI
Dk Mshindo Msolla
Lucas Mashauri
Elias Mwanjala
MAKAMU MWENYEKITI
Mh Janeth Mbena
Samwel Lukumay
Thobias Lingalangala
Fredrick Mwakalebela
WAJUMBE
Ally Sultan
Saady Mohammed
Hassan Hussein
Siza Lymo
Dminick Albinus
Seko Kingo
Hamad Islam
Shafiru Makosa
Eng Leonard Malango
Cyprian Musiba
Eng Bahati Mwaseba
Nasoro Ally Matuzya
Abdallah Chikawe
Hussein Nyika
Rdgers Gumbo
Said Ntimizi
Palina Conrad
Elias Mkumbo
Suma Mwaitenda
Seif Hassan Seif
Haruna Batenga

NB:
Orodha hii haijumuishi wagombea waliopitishwa kwenye mchakato wa mwanzo wa kujaza nafasi zilizowazi
Msimamo wa Ligi baada ya mechi za leo #TanzaniaPremierLeague


FT: Yanga 2-0 African lyon
Kikosi : Yanga Vs African Lyon, TPL

1. Klaus Kindoki
2. Juma Abdul
3. Gadiel Michael
4. Andrew Vicent
5. Kelvin Yondani
6. Faisal Salum
7. Mrisho Ngasa
8. Haruna Moshi
9. Heritier Makambo
10. Papy Tshishimbi
11. Pius Buswita
SUB
Ramadhani Kabwili
Said Juma
Jaffar Mohammed
Thabani Kamusoko
Amissi Tambwe
Raphael Daudi
Mohammed Issa

Yanga yasaka alama tatu dhidi ya African Lyon leo

Huo utakuwa mchezo wa kwanza wa nyumbani kwa Yanga kuchezwa nje ya jiji la Dar es Salaam msimu huu
Kocha Mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera amesema baada ya kulazimishwa sare mchezo uliopita dhidi ya Ndanda Fc, leo wanahitaji alama zote tatu
Viingilio vya mchezo huo ni Tsh 3,000/- kwa majukwaa ya kawaida na Tsh 10,000/- upande wa VIP









