
credit: @sokaonline_…
Deal Done. Klabu ya Yanga Sc imekamilisha usajili wa mshambuliaji Maybin Kalengo kutoka Zesco Utd kwa mkataba wa miaka miwili.

credit: @sokaonline_…
Deal Done. Klabu ya Yanga Sc imekamilisha usajili wa mshambuliaji Maybin Kalengo kutoka Zesco Utd kwa mkataba wa miaka miwili.

credit: @sokaonline_…
Beki wa kati Kennedy Wilson Juma amesaini mkataba wa miaka miwili Simba Sc akitokea Singida Utd .

credit: @sokaonline_…
Klabu ya Azam Fc imethibitisha kuwa imeachana na wachezaji wake 8 baada ya kumaliza mikataba yao. .
.
Wachezaji hao ni:
.
Obrey Chirwa
.
Daniel Lyanga
.
Joseph kimwaga.
.
Enock Atta
.
Ramadhani Singano.
.
Steven Kingue.
.
Hassan Mwasapili na Tafadzwa Kutinyu

credit: @sokaonline_…
Klabu ya Real Madrid imemtambulisha kinda wao mpya Rodrygo Goes (18) waliyemsajili kutoka Santos ya Brazil. .
.
New Neymar Jr.

credit: @sports extra
Nahodha msaidizi wa klabu ya Simba Sc Mohamed Hussein amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia klabu hiyo kwa mara nyingine. .
.
Beki huyo alisaini kabla ya safari ya kuelekea Misri kwenye majukumu ya timu ya Taifa.

credit: @sports extra_…
#Repost @tzprisonsscofficial T A N Z I A
Kwaniaba ya Uongozi mzima wa Timu ya Tanzania Prisons Sports Club tuna majonzi makubwa ya Kuondokewa na aliyekua kiungo wa zamani wa Tz Prisons SAID MTUPA aliepata ajali ya pikipiki hapo jana jioni maeneo ya Iwambi nje kidogo ya jiji la mbeya.
.
.
Tunatoa pole kwa familia ya marehemu pamoja na wadau wa michezo nchini
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala Pema peponi AMINA!!!! #RIPSAIDMTUPA
#RIPSOLDIER
#PrisonsConfidence

credit: @sports extra
MATOKEO YA SOKA JANA JUMAPILI NA RATIBA YA HII LEO:
:
– Copa America – Group B.
FT Paraguay 2 – 2 Qatar
.
– Copa America – Group C.
FT Uruguay 4 – 0 Ecuador
.
– World Cup Women – Group F
FT Sweden 5 – 1 Thailand
FT USA 3 – 0 Chile
.
– CONCACAF – Gold Cup:: group B
FT Haiti 2 – 1 Bermuda
FT Costa Rica 4 – 0 Nicaragua
.
– International – Friendlies.
FT Morocco 2 – 3 Zambia
FT Nigeria 0 – 1 Senegal
FT Tanzania 1 – 1 Zimbabwe
FT Algeria 3 – 2 Mali
FT Egypt 3 – 1 Guinea
.
– Euro U-21 – Group A.
FT Poland U21 3 – 2 Belgium U21
FT Italy U21 3 – 1 Spain U21
:
RATIBA YA HII LEO JUMATATU.
– Copa America – Group C
02:00 Japan
Chile
.
– World Cup Women – Group A
22:00 Korea Republic
Norway
22:00 Nigeria
France
.
– World Cup Women – Group B
19:00 China
Spain
19:00 South Africa
Germany
.
CONCACAF – Gold Cup:: group C
02:00 Curacao
El Salvador
04:30 Jamaica
Honduras
.
International – Friendlies
21:15 Tunisia
Burundi
.
– Euro U-21 – Group B
19:30 Serbia U21
Austria U21
22:00 Germany U21
Denmark U21
#Updates #fixtures
@Sports extra

credit: @sports extra _…
Klabu ya SS Lazio ya Italy ipo tayari kutoa kiasi cha €16m ambacho ni sawa na bilioni 40 ili kupata saini ya nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta anayekipiga KRC Genk ya Ubelgiji. .
.
Kwa mujibu wa ripoti kutoka kwenye mtandao wa The Laziali wa nchini humo umeripoti kuwa tayari klabu hiyo imeliweka jina la Samatta kwenye orodha ya wachezaji itakaowasaka kwa namna yoyote kuhakikisha inapata saini yake. .
.
Dau hilo huenda likawa na nguvu kubwa hasa baada ya baadhi ya timu za uingereza kumhitaji Samatta kwa dau dogo ambalo ni €12m

credit: @sportsextra…
#FriendMatch
FULL-TIME: Zimbabwe 1-1 Tanzania
:
Goli Limesawazishwa na Nahodha, Mbwana Samatta Baada ya Zimbabwe kutangulia… Sasa Maandalizi yotee kujindaa Senegal katika AFCON…
#zamuyetuafcon2019 #zamuyetu2019🇹🇿⚽

credit: @sports extra..
HIVI PUNDEE!!.
– Kiungo wa klabu ya Manchester United, Paul Pogba amethibitisha kuwa ataondoka ndani ya klabu ya Manchester United na kwenda kutafuta changamoto nyingine tofauti na Manchester.
:
— “Kwangu mimi, nimekuwa kwa miaka mitatu hapa Manchester na nimekuwa nikifanya vizuri; nimepitia changamoto nzuri na changamoto mbaya ndani yake..
— “Baada ya msimu huu na kila kitu kilichotokea msimu huu, ni msimu wangu bora pia … Nadhani kwangu inaweza kuwa wakati mzuri wa kuwa na changamoto mpya mahali pengine…. “Ninafikiria hili: kuwa na changamoto mpya mahali pengine.”
:
– Mfaransa huyo Aliwasili Manchester United akitokea klabu ya Juventus mwaka 2016, tangu hapo mpaka Sasa amefunga mabao 31 na kutoa assist 29..
#Updates #transfers