Kiungo wa zamani wa Tanzania prison said mtupa afariki dunia

credit: @sports extra_…

#Repost @tzprisonsscofficial T A N Z I A

Kwaniaba ya Uongozi mzima wa Timu ya Tanzania Prisons Sports Club tuna majonzi makubwa ya Kuondokewa na aliyekua kiungo wa zamani wa Tz Prisons SAID MTUPA aliepata ajali ya pikipiki hapo jana jioni maeneo ya Iwambi nje kidogo ya jiji la mbeya.

.

.

Tunatoa pole kwa familia ya marehemu pamoja na wadau wa michezo nchini

Mungu ailaze roho ya marehemu mahala Pema peponi AMINA!!!! #RIPSAIDMTUPA

#RIPSOLDIER

#PrisonsConfidence

Matokeo ya soka jana na ratiba ya leo

credit: @sports extra

MATOKEO YA SOKA JANA JUMAPILI NA RATIBA YA HII LEO:

:

– Copa America – Group B.

FT Paraguay 2 – 2 Qatar

.

– Copa America – Group C.

FT Uruguay 4 – 0 Ecuador

.

– World Cup Women – Group F

FT Sweden 5 – 1 Thailand

FT USA 3 – 0 Chile

.

– CONCACAF – Gold Cup:: group B

FT Haiti 2 – 1 Bermuda

FT Costa Rica 4 – 0 Nicaragua

.

– International – Friendlies.

FT Morocco 2 – 3 Zambia

FT Nigeria 0 – 1 Senegal

FT Tanzania 1 – 1 Zimbabwe

FT Algeria 3 – 2 Mali

FT Egypt 3 – 1 Guinea

.

– Euro U-21 – Group A.

FT Poland U21 3 – 2 Belgium U21

FT Italy U21 3 – 1 Spain U21

:

RATIBA YA HII LEO JUMATATU.

– Copa America – Group C

02:00 Japan

Chile

.

– World Cup Women – Group A

22:00 Korea Republic

Norway

22:00 Nigeria

France

.

– World Cup Women – Group B

19:00 China

Spain

19:00 South Africa

Germany

.

CONCACAF – Gold Cup:: group C

02:00 Curacao

El Salvador

04:30 Jamaica

Honduras

.

International – Friendlies

21:15 Tunisia

Burundi

.

– Euro U-21 – Group B

19:30 Serbia U21

Austria U21

22:00 Germany U21

Denmark U21

#Updates #fixtures

@Sports extra

Lazio Yamtaka Samata kwa €16

credit: @sports extra _…

Klabu ya SS Lazio ya Italy ipo tayari kutoa kiasi cha €16m ambacho ni sawa na bilioni 40 ili kupata saini ya nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta anayekipiga KRC Genk ya Ubelgiji. .

.

Kwa mujibu wa ripoti kutoka kwenye mtandao wa The Laziali wa nchini humo umeripoti kuwa tayari klabu hiyo imeliweka jina la Samatta kwenye orodha ya wachezaji itakaowasaka kwa namna yoyote kuhakikisha inapata saini yake. .

.

Dau hilo huenda likawa na nguvu kubwa hasa baada ya baadhi ya timu za uingereza kumhitaji Samatta kwa dau dogo ambalo ni €12m

Kiungo wa Manchester United Paul Pogba Akataa kubaki man united

credit: @sports extra..

HIVI PUNDEE!!.

– Kiungo wa klabu ya Manchester United, Paul Pogba amethibitisha kuwa ataondoka ndani ya klabu ya Manchester United na kwenda kutafuta changamoto nyingine tofauti na Manchester.

:

— “Kwangu mimi, nimekuwa kwa miaka mitatu hapa Manchester na nimekuwa nikifanya vizuri; nimepitia changamoto nzuri na changamoto mbaya ndani yake..

— “Baada ya msimu huu na kila kitu kilichotokea msimu huu, ni msimu wangu bora pia … Nadhani kwangu inaweza kuwa wakati mzuri wa kuwa na changamoto mpya mahali pengine…. “Ninafikiria hili: kuwa na changamoto mpya mahali pengine.”

:

– Mfaransa huyo Aliwasili Manchester United akitokea klabu ya Juventus mwaka 2016, tangu hapo mpaka Sasa amefunga mabao 31 na kutoa assist 29..

#Updates #transfers