
African Lyon ,Mwadui fc ,Ruvu shooting na Kagera sugar zashuka daraja la kwanza

African Lyon ,Mwadui fc ,Ruvu shooting na Kagera sugar zashuka daraja la kwanza

‘MWALI’: Tayari kombe liko hadharani hapa kwenye Uwanja wa Jamhuri Morogoro likimsubiri bingwa Simba SC baada ya mechi.
Dakika ya 35: Mtibwa Sugar 0-0 Simba SC.
#LigiKuuTanzaniaBara
credit: @sokawaytz


Makala
TUONGEE KUHUSU MPIRA na kagawa10.
KIKOSI BORA CHA MSIMU KUTOKA KATIKA TIMU 20 ZA LIGI KUU(TPL)
Wakati ligi kuu ikielekea ukingoni siku ya leo, nimeona nitoe kikosi bora ambacho kitajumuisha wachezaji waliofanya vizuri katika ligi kuu ya Tanzania(tpl),wachezaji ni wengi waliofanya vizuri katika ligi yetu ya bongo ambayo inachangamoto nyingi sana hila wachezaji wamejitaidi kuonesha uwezo wao. Kikosi hiko kipo kama hivi
1. Aishi manura (simba)
2. William lusian gallas ( lipuli)
3. Bruce kangwa(azam)
4. Erasto nyoni (simba)
5. Kelvin yondani (yanga)
6. Feisal Toto ( yanga)
7. Clastus chota chama (simba)
8. Jonas gerrald mkude (simba)
9. Meddie kagere (simba)
10. Herriet makambo (yanga)
11. Ibram ajibu migomba (yanga)
Sub
1.Aron kalambo ( prison)
2. Hussein zimbwe (simba)
3. Salim ayee (mwadui)
4.Yakubu (azam)
5. Jonh Boko (simba)
6. Emmanuel okwi (simba)
7. Aggrey morris.
Wengi watajiuliza kwanini ajibu nimemuweka kwenye kikosi, jibu lao ni hivi namba hazidanganyi naazaje kumuweka nje mtu anaeongoza kwa kusaidia upatikanaj wa magoli(assist 15) kwa msimu huu japo mech nyingi alikua ayupo kutokana na matatizo binafsi na timu yake, pia kumuweka jonas mkude kama namba nane wakati asili yake ni kiungo mzuiaji, inatoka na kutumika sana eneo ilo na kufanya vizuri katika msimu uku nyuma yake akiwa saidiwa na james kotei napenda kumwita chuma.
Yote kwa yote wachezaji ni wengi hila kwangu hao nimeona wamefanya vizur sana kwa msimu mzima.
Makala hii imeandikwa na kagawa 10.


Baada ya kuwasili Abu Dhabi,kikosi cha @ugandacranes kimeendelea na mazoezi tayari kwa maandalizi ya Afcon 2019 nchini Misri
credit: @sokaonline_



England wamepunguza wachezaji Wanne kwenye kikosi chao cha mwisho ambacho kitakachoshiriki Fainali za UEFA Nations League zitakazofanyika mwezi ujao.
❌ Kieran Trippier
❌ Harry Winks
❌ James Ward-Prowse
❌ Nathan Redmond
#nationsleague #Updates
credit: @sokawaytz


– Aston Villa imefanikiwa kupanda Ligi Kuu Nchini Uingereza “Premier League” Baada ya ushindi wa Magoli 2-1 dhidi ya Derby Country mapema siku ya jana, katika Mafanikio hayo waliyopata kwa Mara ya kwanza takribani miaka Mitatu kwa Kiasi kikubwa imechangiwa na Wachezaji kutoka Bara La Afrika.
.
– Mfungaji bora wao Tammy Abraham licha tu ya kuichezea timu ya taifa ya England U21 lakini Nigeria wameendelea kumshawishi kurejea nyumbani kabla ya kuanza kucheza Senior team Moja kwa Moja, Mshambuliaji Anwar El Ghazi licha tu ya kuichezea timu ya taifa ya Uholanzi U21 Morocco hawajaacha kumshawishi kurejea nyumbani, Beki na nahodha wa Misri, Ahmed Elmohamady, Albert Adomah wa Ghana wa Nyota wa Ivory Coast, Jonathan Kodjia wameisaidia Aston Villa kwa kiasi chake kuhakikisha imerejea Ligi Kuu… Baada ya wao kupanda wanahitimisha Timu tatu Baada ya Mbili kutangulia ambazo ni Norwich City na Sheffield United.
.
– Magoli kutoka Kwa, Anwar El Ghazi na John McGinn yaliweza kutosha na kuwapandisha PL vijana hao wa kocha Dean Smith katika Dimba la Wembley, Martin Waghorn aliwafuta machozi Derby kwa Goli lake Dakika 10 za Mwisho wa Mchezo huo..
#Updates
@Sokawaytz
credit: @sokawaytz


Klabu ya Arsenal imeanza kuwania saini ya Golikipa wa Ac Milan Gianluigi Donnarumma ili kurithi mikoba ya Peter Cech aliyetangaza kustaafu baada ya fainali ya Europa League (Daily Star)
credit: @sokaonline_

Rais wa Klabu ya Bayern Munich Uli Hoeness amemwambia beki wa kati wa klabu hiyo Jérôme Boateng kuwa muda wa kucheza Bayern umeisha hivyo angependa kumshauri atafute klabu nyingine. (DW SPORTS) .
.
Mpaka sasa klabu za Arsenal pamoja na Manchester United zimeonyesha nia ya kumhitaji.
credit: @sokaonline_




– Imethibitisha Rasmi, Dani Alves ndiye nahodha mpya wa timu ya taifa ya Brazil katika Michuano ijayo ya Copa América, Kocha Tite kampiga chini Staa wao, Neymar Jr ambaye alimpa kitambaa hicho mwaka jana kuwa nahodha wa Brazil.
:
Brazil wanatarajia kuwa wenyeji wa Copa America, Mabingwa hao Mara Nane Mara ya mwisho mwaka 2016 walifanya vibaya lakini mwaka huu wakiwa kundi A pamoja na Bolivia , Peru na Venezuela watajaribu kufanya vema zaidi, Brazil game yao ya kwanza katika Michuano hii wataanza na Bolivia ndani ya Sao Paulo siku ya June 14..
#Updates
@Sokawaytz
credit: @sokawaytz
