
credit: @sokawaytz_…
👉 Jana Baada ya Mechi Ujumbe wa kocha wa @pharaohsofficial Javier Aguirre kwa mashabiki wa Misri:
:
🗣️ “Sisi tuna huzuni sana kuhusu hili na tutajaribu na tutafakari kesho kile kilichosababishwa na kutenda sawasawa kwa siku zijazo”.
:
🗣️ “Sina uamuzi wowote juu ya kama nitaendelea kukaa kama kocha. Tunahitaji kujadili hili na Shirikisho la Misri.
:
– Hakuna Majadiliano, Sasa Ni Rasmi Shirikisho la Soka Nchini Misri limemfuta kazi Kocha wao huyo wa Timu yao ya taifa Raia wa Mexico, Javier Aguirre pamoja na benchi Zima. Kocha ambaye alikuwa na Mkataba Kuwaongoza Mafarao hao mpaka mwaka 2022… Aguirre kaisaidia Misri Kufuzu AFCON 2019 na kumaliza hatua ya Makundi bila kupoteza game hata moja wakishinda zote kutoka Kundi A wakiwa Kama wenyeji, Walifuzu 16 Bora na Jana waliondoshwa bila kutegemea mbele ya Afrika Kusini walioshinda 1-0 mbele ya umati wa Mashabiki wa Misri.
.
– Nae Rais wa Chama cha soka cha Misri (EFA), Hani Abou Rida ametangaza kujiuzulu Mara moja baada ya kumfuta kazi kocha mkuu wa timu ya taifa ya Misri, Javier Aguirre..
#AFCONUpdates
@Sokawaytz_














