Kocha mkuu wa misri atimuliwa kuifundisha timu hiyo baada ya kipigo cha jana

credit: @sokawaytz_…

👉 Jana Baada ya Mechi Ujumbe wa kocha wa @pharaohsofficial Javier Aguirre kwa mashabiki wa Misri:

:

🗣️ “Sisi tuna huzuni sana kuhusu hili na tutajaribu na tutafakari kesho kile kilichosababishwa na kutenda sawasawa kwa siku zijazo”.

:

🗣️ “Sina uamuzi wowote juu ya kama nitaendelea kukaa kama kocha. Tunahitaji kujadili hili na Shirikisho la Misri.

:

– Hakuna Majadiliano, Sasa Ni Rasmi Shirikisho la Soka Nchini Misri limemfuta kazi Kocha wao huyo wa Timu yao ya taifa Raia wa Mexico, Javier Aguirre pamoja na benchi Zima. Kocha ambaye alikuwa na Mkataba Kuwaongoza Mafarao hao mpaka mwaka 2022… Aguirre kaisaidia Misri Kufuzu AFCON 2019 na kumaliza hatua ya Makundi bila kupoteza game hata moja wakishinda zote kutoka Kundi A wakiwa Kama wenyeji, Walifuzu 16 Bora na Jana waliondoshwa bila kutegemea mbele ya Afrika Kusini walioshinda 1-0 mbele ya umati wa Mashabiki wa Misri.

.

– Nae Rais wa Chama cha soka cha Misri (EFA), Hani Abou Rida ametangaza kujiuzulu Mara moja baada ya kumfuta kazi kocha mkuu wa timu ya taifa ya Misri, Javier Aguirre..

#AFCONUpdates

@Sokawaytz_

Uganda wavunja mkataba na Kocha mkuu wa Uganda cranes Sebastiane desabre

credit: @sokawaytz_…

#BREAKING

Shirikisho la Soka Nchini Uganda “FUFA” limevunja Mkataba na Kocha Mkuu wa Uganda Cranes, Sebastien Desabre Kwa makubaliano maalumu.

:

– Katika Taarifa ya Shirikisho hilo wamesema kuwa “FUFA inatambua mchango wa Kocha Desabre kwa kuboresha timu kimichezo na kitaaluma katika Kikosi Cha Uganda Cranes ikiwa ni pamoja na kufuzu kwa AFCON 2019 huko Misri na pia kufika hatua ya 16 Bora kisha kuondoshwa hatua hiyo.

:

– Sebastien Desabre Raia wa Ufaransa, anatajwa kuwa Ni chaguo Namba moja kwa Mabosi wa Klabu ya Al Ahly. Kutimuliwa huku itakuwa nafasi kwake kujiunga na Mabingwa hao wa Kihistoria Barani Afrika..

@sokawaytz_

Emanuel emenike matatami tanzania

credit: @sokawaytz_…

– Kocha wa Taifa Stars Emmanuel Amunike amekutana na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe kuzungumzia tathmini ya ushiriki wa timu hiyo kwenye michuano ya #AFCON2019 inayoendelea nchini Misri ambapo @taifastars_ imeondoshwa Baada ya kufungwa game zote tatu za hatua ya Makundi.

.

– Kwa Ujumla, Amunike ambaye Ni legend wa Nigeria, akiwa Kama kocha wa Timu ya taifa ya Tanzania, kaiongoza katika Michezo 10, Akipoteza Mara Sita na Ushindi Mara mbili kisha Sare Mara mbili..

#Updates #TaifaStars

Marcelo asaini yanga

credit: @sokawaytz_…

OFFICIAL | Klabu ya Yanga SC Imethibitisha kukamilisha uhamisho wa Beki wa kushoto kutoka Zanzibar katika klabu ya Malindi FC, Muharami Issa “Marcelo” kwa Mkataba wa Miaka Mitatu..

.

– Kama kumbukumbu unazo mdau, Beki huyo Alitambulishwa na Klabu ya Singida United siku Sita zilizopita kwa Mkataba wa Miaka Mitatu Pia… lakini hii leo kafanyiwa vipimo vya afya na Kusaini Mkataba Mitaa ya Jangwani na kupewa Jezi Namba Mbili kabla yake ilikuwa ikivaliwa na Gadiel Michael Mbaga aliyemaliza Mkataba na Mabingwa hao wa Kihistoria..

#TPLTransferUpdates #TPLUpdates

South Africa yaiondoa egypt kwenye mashindano ya Afcon

credit: @sokawaytz_…

Mpira umekwisha Cairo International Stadium… Wenyeji wa AFCON 2019, @pharaohsofficial wametupwa nje ya Michuano baada kupokea kipigo kutoka kwa Bafana Bafana walioonesha kiwango Bora mno 🙌… Baada ya Ushindi huu Sasa Afrika Kusini wanakutana na Nigeria katika Mchezo wa Robo fainali siku ya Julai 10 mwaka huu.

:

Misri 🇪🇬 0-1 🇿🇦 Afrika Kusini

[Thembinkosi Lorch]

#AFCON2019 #EGYRSA

Leicester city yakomaa na Samata

credit: @josephjosey10_…

Hii ni page ya tetesi based in Leicester City rumors na Gossip ikiripoti kuwa Leicester City imetuma offer Recing Genk ili kupata huduma ya Mtanzania Mbwana Ally Samatta. Je, nyota huyu akubali kuachana na nafasi ya kucheza klabu bingwa ulaya msimu ujao na akapambanie namba na Jamie Vardy???

::

::

Follow @josephjosey10_

::

::

#full_sokaupdates

#90sportsplusupdates #soka #sokaonlineupdates #sokaonline #sokaliveupdates #sevilla #spain #laliga #saujifullsokkaa #full_sokatzupdates #shaffihdauda #shaffihdaudawebsite #millardayo #millardayosports #millardayoupdates #YangaMpya #yangasc #yanga #yangascbingwaupdates #simbasc #simbanguvumoja #simba #SimbaRaha #michezohalisiupdates #michezoonlineupdates #michezo #tanzaniapremierleague #tanzaniapremierleague🇹🇿 #zamuyetuafcon2019🇹🇿

Matokeo ya jana na mechi za leo

credit: @sokawaytz_…

MATOKEO YA SOKA JANA IJUMAA NA RATIBA YA HII LEO.

:

– Africa Cup of Nations – Round of 16.

AET Morocco 1 – 1 Benin *

FT Uganda 0 – 1 Senegal

.

– International – Club Friendlies.

FT Hobro 0 – 0 Fredericia

FT AC Horsens 0 – 4 AaB

FT FC Ufa 0 – 1 Viktoria Plzen

FT FC Twente 0 – 0 Al-Wahda

FT Austria Wien 2 – 1 Banik Ostrava

FT Sparta Rotterdam 1 – 0 Zaglebie Lubin

FT Xamax 1 – 5 FC Stade Lausanne-Ouchy

FT Grazer AK 2 – 0 Middlesbrough

FT LASK 1 – 0 Sparta Prague

FT Rijeka 1 – 2 PFC Sochi

FT Rubin Kazan 0 – 0 FC Tambov

FT Shakhtar Donetsk 2 – 1 FC Koebenhavn

FT AS Beziers 0 – 0 Nimes

FT FC Krasnodar 0 – 2 Ural

FT FK Akhmat 1 – 1 Inter Zapresic

FT Slovan Liberec 0 – 1 Dinamo Moscow

FT SpVg Frechen 20 1 – 7 1. FC Köln

FT VVV-Venlo 3 – 3 St.Truiden

FT Wolfsberger AC 1 – 0 SK Austria Klagenfurt

FT FC Emmen 1 – 1 PEC Zwolle

FT FC Groningen 2 – 0 Ross County

FT Kortrijk 2 – 0 OH Leuven

FT Lugano 2 – 2 Chiasso

FT SC Heerenveen 5 – 4 SV Meppen

FT Taffs Well 1 – 5 Cardiff City

FT AFC Wimbledon 0 – 3 Brentford

:

RATIBA YA HII LEO JUMAMOSI.

– Copa America – 3rd place W.

22:00 Argentina

Chile

.

– World Cup Women – 3rd place W.

18:00 England

Sweden

.

– Africa Cup of Nations – Round of 16.

19:00 Nigeria

Cameroon

22:00 Egypt

South Africa

#fixtures #Updates

@Sokawaytz_

Matokeo ya mechi za jana na ratiba ya leo

credit: @sokawaytz_…

MATOKEO YA SOKA JANA NA RATIBA YA HII LEO IJUMAA.

:

.

– Europa League – Qualification:: Preliminary round.

FT Cardiff Met University 2 – 1 FC Progres Niedercorn

FT UE Engordany 2 – 1 La Fiorita Montegiardino

FT NSI Runavik 0 – 0 Ballymena United

FT Europa FC 4 – 0 Sant Julia

FT Cliftonville 4 – 0 Barry Town

FT Tre Fiori 0 – 4 Klaksvik

.

-:International – Club Friendlies

FT Ferencvaros 2 – 0 Royal Excel Mouscron

FT Spartak Moscow 1 – 2 FC Krasnodar

FT RSV Weyer 0 – 14 Fortuna Düsseldorf

FT DJK Bad Homburg 0 – 14 Eintracht Frankfurt

Aband. Charlton Athletic 1 – 0 Gaz Metan Medias

FT Rolder Boys 0 – 10 FC Emmen

FT Raith Rovers 3 – 2 Hamilton Academical.

:

RATIBA YA HII LEO IJUMAA.

– Africa Cup of Nations – Round of 16

19:00 Morocco

Benin

22:00 Uganda

Senegal

.

– International – Club Friendlies

13:00 Hobro

Fredericia

13:00 Rubin Kazan

FC Tambov

14:00 AC Horsens

AaB

16:00 FC Twente

Al-Wahda

16:00 FC Ufa

Viktoria Plzen

17:00 Austria Wien

Banik Ostrava

17:00 Zaglebie Lubin

Sparta Rotterdam

17:30 Xamax

FC Stade Lausanne-Ouchy

18:00 Grazer AK

Middlesbrough

18:00 LASK

Sparta Prague

18:00 Shakhtar Donets

FC Koebenhavn

18:30 AS Beziers

Nimes

18:30 FC Krasnodar

Ural

18:30 Slovan Liberec

Dinamo Moscow

19:00 SpVg Frechen 20

1. FC Köln

19:30 VVV-Venlo

St.Truiden

19:30 Wolfsberger AC

SK Austria Klagenfurt

20:00 FC Emmen

PEC Zwolle

20:00 FC Groningen

Ross County

20:00 Kortrijk

OH Leuven

20:00 Lugano

Chiasso

20:00 SC Heerenveen

SV Meppen

20:00 TSG Backnang

VfB Stuttgart

21:00 Taffs Well

Cardiff City

21:45 AFC Wimbledon

Brentford

#fixtures #Updates

@Sokawaytz_