
credit: @sokawaytz_…
– Mabingwa wa Ligi Kuu Nchini Kenya, Klabu ya GOR Mahia imevamia Tanzania na Kukamilisha usajili wa Nyota wawili wa Tanzania.. yatua Alliance na Singida United.
.
– K’Ogalo Imethibitisha Rasmi Kumsajili Mlinda lango David Kisu kwa Mkataba wa Miaka Mitatu akitokea Klabu ya Singida United ya mkoani Singida. Kisu mwenye umri wa Miaka 23 pia kabla ya kutua Singada amewahi kuzichezea Simba SC na Toto Africans zote za Tanzania kwa Kipindi tofauti tofauti.
.
– Wakati huo huo, Mshambuliaji wa Klabu ya Alliance FC ya Jijini Mwanza, Dickson Ambundo nae amejiunga na Mabingwa hao wa Keny kwa Mkataba wa Mkopo wa Mmoja..
#TransferNewsUpdates
@Sokawaytz_














