Kiungo wa Manchester United Paul Pogba Akataa kubaki man united

credit: @sports extra..

HIVI PUNDEE!!.

– Kiungo wa klabu ya Manchester United, Paul Pogba amethibitisha kuwa ataondoka ndani ya klabu ya Manchester United na kwenda kutafuta changamoto nyingine tofauti na Manchester.

:

— “Kwangu mimi, nimekuwa kwa miaka mitatu hapa Manchester na nimekuwa nikifanya vizuri; nimepitia changamoto nzuri na changamoto mbaya ndani yake..

— “Baada ya msimu huu na kila kitu kilichotokea msimu huu, ni msimu wangu bora pia … Nadhani kwangu inaweza kuwa wakati mzuri wa kuwa na changamoto mpya mahali pengine…. “Ninafikiria hili: kuwa na changamoto mpya mahali pengine.”

:

– Mfaransa huyo Aliwasili Manchester United akitokea klabu ya Juventus mwaka 2016, tangu hapo mpaka Sasa amefunga mabao 31 na kutoa assist 29..

#Updates #transfers

Matokeo ya jana na ratiba ya mechi za leo

credit: @sokawaytz…

RATIBA YA HII LEO JUMAPILI NA MATOKEO YA JANA JUMAMOSI:

:

– Copa America – Group A.

FT Venezuela 0 – 0 Peru

– Copa America – Group B.

FT Argentina 0 – 2 Colombia

.

– World Cup Women – Group E

FT Netherlands 3 – 1 Cameroon

FT Canada 2 – 0 New Zealand

.

– CONCACAF – Gold Cup:: Group A.

FT Canada 4 – 0 Martinique

FT Mexico 7 – 0 Cuba

.

– International – Friendlies.

FT Indonesia 6 – 0 Vanuatu

FT Uganda 1 – 0 Ivory Coast

FT Ghana 0 – 0 South Africa

FT Kenya 1 – 1 DR Congo

.

– World Cup U-20 – FINAL 🏆

FT Ukraine U20 3 – 1 South Korea U20

:

RATIBA ZA HII LEO JUMAMOSI..

– Copa America – Group B.

22:00 Paraguay

Qatar

.

– Copa America – Group C.

01:00 Uruguay

Ecuador

.

– World Cup Women – Group F .

16:00 Sweden

Thailand

19:00 USA

Chile

.

CONCACAF – Gold Cup:: group B.

01:00 Haiti

Bermuda

03:30 Costa Rica

Nicaragua

.

– International – Friendlies.

19:00 Egypt

Guinea

19:30 Morocco

Zambia

20:00 Tanzania

Zimbabwe

20:45 Nigeria

Senegal

21:00 Algeria

Mali

.

– UEFA EURO U-21 – Group A.

19:30 Poland U21

Belgium U21

22:00 Italy U21

Spain U21

#Updates

@Sokawaytz

Mchezaji wa mtibwa sugar nickson kibabage amesaini mkataba wa miaka 4 kuitumikia timu Difaa El jadida ya Morocco

credit: @sokawaytz…

– Mchezaji wa Klabu ya Mtibwa Sugar, Nickson Kibabage, amesaini mkataba wa miaka minne (4) Kuitumikia klabu ya Difaa El Jadida ya Ligi Kuu Nchini Morocco… Kibabage anaungana na Mtanzania mwingine kwenye timu hiyo ambaye ni nyota wa Taifa Stars, Simon Msuva.

:

– Kibabage anaweza kucheza kama Mlinzi wa kushoto au winga wa kushoto, nafasi zote huzimudu vizuri akiwa na timu za taifa mwanzo U17 na Sasa yupo U20 na U23..

#transfers