
credit: @sokawaytz…
โ๐ป Orodha ya Ubora wa Vilabu Barani Afrika imetoka Mwezi Huu Julai 2019… Orodha hii Ni kwa Performances Bora za Ushiriki wa Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika kuanzia Mwaka 2009 mpaka Sasa 2019; yaani Miaka 10:.. Miamba wa Soka Afrika Kutokea Nchini Misri, Al Ahly wanaendelea kuwa vinara bila kuporomoka nafasi yoyote Tangu Orodha ya Mwisho kutolewa..
.
– Ni Vilabu Vinne tu ambavyo nafasi zao zimedumu tangu Orodha iliyopita na hii mpya..
1. Al Ahly
2. Esperance
3. TP Mazembe
4. Etoile Du Sahel
.
– Vilabu Vingine, Nafasi zao zimebadilika kuna walio Poromoka na Kuna Klabu nyingine zimepanda kulingana na Ubora wao wa Kufanya vema Katika Michuano ya Afrika ngazi za Vilabu..
5. Wydad Casablanca (Kutoka No.9).
6. El Zamalek (Kutoka No.7).
7. Al Hilal Omdurman (Kutoka No.5).
8. ASEC Mimosa (Kutoka No.10).
9. AS Vita Club (Kutoka No.8).
10. Mamelodi Sundowns (Kutoka No.20).
.
– Hiyo ndio Kumi Bora, na Sasa tuvigusie Vilabu Maarufu vilivyokosa hapo..
12. Horoya SC (Kutoka No.22).
15. Club Africain (Kutoka No.23).
17. ZESCO United (Kutoka No.18).
18. Raja Casablanca (Kutoka No.17).
19. Al Merreikh (Kutoka No.13).
20. Orlando Pirates (Kutoka No.39).
21. Enyimba SC (Kutoka No.14).
22. 1ยฐ Agosto (Kutoka No.24).
25. GOR Mahia (Kutoka No.43).
26. Simba SC (Kutoka No.86).
31. Nkana FC (Kutoka No.99).
32. USM Alger (Kutoka No.21).
39. Young Africans SC (Kutoka No.26).
42. KCCA FC (Imesalia Nafasi yake).
43. APR FC (Kutoka No.47).
#CAFCCUpdates #CAFCLUpdates #CAFCC #CAFCL
@Sokawaytz_