Diego costa afumua madrid

credit: @sokawaytz…

Real Madrid na Thibaut Courtois Alichowafanya Diego Costa hawata msahau ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…… Mnyama Baada ya kuhakikisha kapiga goli Nne mpaka Dakika ya 51, Anapewa Kadi Nyekundu na Kwenda kupumzika Dakika ya 61 ๐Ÿ™„๐Ÿ™Œ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„.

#ICC2019 #RealMadrid #AtleticoMadrid #elclassico2019โšฝ๏ธ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

Madrid yaingiwa na hofu juu ya luka Jovic

credit: @sokawaytz…

– Real Madrid imeingiwa na hofu juu ya Majeraha ya Mshambuliaji wao wa Kimataifa wa Serbia, Luka Jovic aliyopata Alfajiri ya kuamkia leo Katika Mchezo wa Maandalizi ya Msimu Mpya dhidi ya Majirani zao Atletico Madrid, Jovic aluchuana na mlinda lango wa Atletico Madrid Jan Oblak Katika Dakika ya 24 ya mchezo huo.

.

– Baada ya Matibabu Dakika kadhaa ilijulikana kapata Majeraha Katika kufundo chake Cha Mguu na Pia iligundulika kuwa Hawezi Kuendelea na Mchezo na nafasi yake kuchukuliwa na Mfaransa, Karim Benzema.

.

– Jovic mwenye umri wa Miaka 21, Bado hajaitumikia Madrid Katika Mechi za Kimashindano kwani msimu huu ndio wa kwanza akiwa na jezi ya Klabu hiyo ya Mabingwa wa Kihistoria Barani Ulaya tangu Asajiliwe kutoka Klabu ya Frankfurt ya Ujerumani kwa ada ya uhamisho wa โ‚ฌ70m… Akitoka na kuiacha Klabu yake ilipokea kipigo Cha Magoli 7-3..

#Updates #RealMadrid

@Sokawaytz_

Thomas vamalen ajiunga kukipiga japan

credit: @sokawaytz…

OFFICIAL: Beki wa Kimataifa wa Ubelgiji, Thomas Vermaelen amekamilisha Usajili wake wake wa kujiunga na Klabu ya Vissel Kobe ya Nchini Japan ๐Ÿ‡ฏ๐Ÿ‡ต!!..

.

– Vermaelen 33, kajiunga Kama Mchezaji huru Baada ya Kumalizika kwa Mkataba wake na Mabingwa wa Hispania Klabu ya FC Barcelona… Katika timu yake mpya anakutana na Wachezaji wengine waliopita zamani FC Barcelona, Andres Iniesta, Sergi Samper na David Villa..

#TransferNewsUpdates

@Sokawaytz_

Idrissa Gueye anukia Paris sant Germany

credit: @mstvonline…

@psg imekubali kulipa ยฃ28m kumsajili kiungo wa kimataifa wa #Senegal Idrissa Gueye, 29, kutoka @everton (Mail)

.

.

Follow @mstvonline .

#sokaonline #sokaliveupdates #SportsHQ #nakuru #chombokwahewa #tumewasha #simbanguvumoja #SimbaSc #NguvuMoja #millardayoupdates #millardayosports #Michezo #michezoonlineupdates #full_sokatzupdates #dailysporttz #dailySportt #shaffihdaudawebsite #shaffihdauda #90sportsplusupdates #gueye #psg

Arsenal yakamilisha usajili wa kiungo wa Real Madrid ,Dani ceballos

credit: @sokawaytz…

DONE DEAL: Arsenal Imethibitisha Kumsajili Kiungo wa Kimataifa wa Hispania, Dani Ceballos kutoka Real Madrid kwa mkopo wa msimu Mmoja… Arsenal pia Imethibitisha kuwa Nyota huyo Atavaa jezi yenye Namba Nane (8) Katika Kipindi atakachokuwa na Klabu hiyo..

๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Ian Wright

๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ช Freddie Ljunberg

๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Mikel Arteta

๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ท๓ ฌ๓ ณ๓ ฟ Aaron Ramsey

๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Dani Ceballos ๐Ÿ†•

:

๐Ÿ‘‰ Ceballos mhispania mwingine Anavaa jezi yenye Namba Nane ndani ya The Gunners!.

#transfersUpdates #EPLTransfersUpdates

Orodha ya vilabu bora Africa

credit: @sokawaytz…

โœ๐Ÿป Orodha ya Ubora wa Vilabu Barani Afrika imetoka Mwezi Huu Julai 2019… Orodha hii Ni kwa Performances Bora za Ushiriki wa Michuano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika kuanzia Mwaka 2009 mpaka Sasa 2019; yaani Miaka 10:.. Miamba wa Soka Afrika Kutokea Nchini Misri, Al Ahly wanaendelea kuwa vinara bila kuporomoka nafasi yoyote Tangu Orodha ya Mwisho kutolewa..

.

– Ni Vilabu Vinne tu ambavyo nafasi zao zimedumu tangu Orodha iliyopita na hii mpya..

1. Al Ahly

2. Esperance

3. TP Mazembe

4. Etoile Du Sahel

.

– Vilabu Vingine, Nafasi zao zimebadilika kuna walio Poromoka na Kuna Klabu nyingine zimepanda kulingana na Ubora wao wa Kufanya vema Katika Michuano ya Afrika ngazi za Vilabu..

5. Wydad Casablanca (Kutoka No.9).

6. El Zamalek (Kutoka No.7).

7. Al Hilal Omdurman (Kutoka No.5).

8. ASEC Mimosa (Kutoka No.10).

9. AS Vita Club (Kutoka No.8).

10. Mamelodi Sundowns (Kutoka No.20).

.

– Hiyo ndio Kumi Bora, na Sasa tuvigusie Vilabu Maarufu vilivyokosa hapo..

12. Horoya SC (Kutoka No.22).

15. Club Africain (Kutoka No.23).

17. ZESCO United (Kutoka No.18).

18. Raja Casablanca (Kutoka No.17).

19. Al Merreikh (Kutoka No.13).

20. Orlando Pirates (Kutoka No.39).

21. Enyimba SC (Kutoka No.14).

22. 1ยฐ Agosto (Kutoka No.24).

25. GOR Mahia (Kutoka No.43).

26. Simba SC (Kutoka No.86).

31. Nkana FC (Kutoka No.99).

32. USM Alger (Kutoka No.21).

39. Young Africans SC (Kutoka No.26).

42. KCCA FC (Imesalia Nafasi yake).

43. APR FC (Kutoka No.47).

#CAFCCUpdates #CAFCLUpdates #CAFCC #CAFCL

@Sokawaytz_

Malcom akaribia kutua burrusia Dortmund

– FC Barcelona na Borussia Dortmund wanazungumza kuhusu uhamisho wa Mshambuliaji wa Kimataifa wa Brazil ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท, Malcom, Mazungumzo hayo ambayo klabu ya Bundesliga italazimika kulipa โ‚ฌ42m (ยฃ38m / $47m).

.

– Malcom ana kifungu cha โ‚ฌ180m (ยฃ160m / $200m) kuvunja mkataba wake wa sasa na Mabingwa hao wa La Liga, lakini Barรงa Imeripotiwa kuwa ipo Tayari kuongeza โ‚ฌ1m Katika dau walilo mnunua Nyota huyo โ‚ฌ41m kutoka Klabu ya Ligue 1 Nchini Ufaransa, Bordeaux..

.

– Wakati huo huo AS Roma iliyoporwa tonge mdomoni kwa Mchezaji huyo bado wanamtaka tena, Lazio nao na Arsenal ambao walipowasilisha ombi waliambiwa walipe โ‚ฌ71m ๐Ÿ™„๐Ÿ˜„!!.

#TransferNewsUpdates

@Sokawaytz_

Simba yapambanana kuinasa saini ya Justin shonga toka South Africa

credit: @sokaonline_…

HII NI FUJO ISIYOUMIZA: Chukua hii. .

.

Justine Shonga ni jina linalozungumzwa sana katika soko la usajili wa vilabu barani Afrika kwasasa. .

.

Huyu ni mzambia anayekipiga katika klabu ya Orlando Pirates ya Afrika Kusini. .

.

Ubora wake umefanya aingie kwenye kinyang’anyiro cha baadhi ya vilabu barani Afrika pamoja na baadhi ya vilabu vya ulaya. .

.

Taarifa kutoka Afrika Kusini zinadai Orlando Pirates wapo tayari kumuuza nyota huyo, wababe wa Misri Al Ahly wameonyesha nia ya kumhitaji fundi huyo mwenye udambwi udambwi katika eneo lake la kushambulia. .

.

Lakini zipo taarifa ambazo inasemekana klabu ya Simba nayo imeingia kwenye shindano la kuwania saini yake. Ikumbukwe Mo Dewji ambaye ndiye mwekezaji mkuu wa klabu ya Simba aliwahi kutamka kuwa klabu hiyo ina uwezo wa kushindana na klabu yoyote Afrika kwenye saini za wachezaji. .

.

Simba Sc katika orodha yake ya usajili wa wachezaji wa kigeni imebaki nafasi moja, Unafikiri wataweza kuipata saini yake mbele ya Al Ahly ? Tusubiri tuone. .

.

Takwimu za nyota huyo katika msimu uliopita ni kama zinavyosomeka hapo juu. .

.