Brazil yatakata copa America

credit: @sokaonline_…

#CopaAmerica 2019

. . โ—† Winners : Brazil๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท

โ—† Fair Play Award: Brazil๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท

โ—† Best Goalkeeper: Alison๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท

โ—† Top GoalScorer: Everton๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท

โ—† Best Player: Dani Alves๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท .

.

Brazil Dominance ๐Ÿ’ช

Mataji yamuandama daniel alves

credit: @sokawaytz_…

๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†

๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†

๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†

๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†

@danialves ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ท amekuwa ni Mchezaji wa Kwanza katika Historia ya mpira wa Miguu Duniani kushinda Jumla ya Mataji 4๏ธโƒฃ0๏ธโƒฃ.

3x ๐ŸŒ UCL

2x ๐ŸŒ UEL

4x ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡บ Supercup

3x ๐ŸŒŽ Club World Cup

6x ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ La Liga

5x ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ Supercup

5x ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ธ CDR

1x ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น Serie A

1x ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น Cup

2x ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท Ligue 1

2x ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท Supercup

1x ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท Cup

1x ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท League Cup

2x ๐ŸŒŽ Confed Cup

2x ๐ŸŒŽ Copa America

๐Ÿคฏ Wow.

#championsleague #Laliga #ligue1 #seriea #CopaAmerica #europaleague.

Kocha mkuu wa stars Emanuel emenike aondolewa kuinoa timu hiyo

credit: @sokawaytz_…

BREAKING NEWS

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeanza mchakato wa kumpata kocha wa muda atakayeiongoza Taifa Stars katika mechi za kufuzu CHAN dhidi ya Kenya.

TFF imefikia hatua hiyo baada ya kukubaliana kuachana na Kocha Mnigeria, Emmanuel Amunike kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya vรญbaya kwenye AFCON.

Reposted from @giftmacha_official

Polisi tanzania yazidi kujiimarisha kiusajili

credit: @sokawaytz_…

OFFICIAL | Klabu ya JKT Tanzania imeendelea kusuka Kikosi chake kuelekea msimu moya wa ligi Kuu Tanzania Bara kwa kukamilisha Usajili wa Beki Iddy Mobby kwa Mkataba wa Mwaka mmoja. Msimu uliopita kiraka huyo alichezea Mwadui FC.

.

– Wakati huo huo, Hassan Nassor Maulid amejiunga na Polisi Tanzania kwa mkataba wa Miaka Miwili akitokea Ndanda FC ya Mtwara ambayo Wachezaji wake waliokuwa nao msimu uliopita wanazidi kupukutika..

#TPLTransferUpdates #TPLUpdates

Algeria yasonga mbele afcon

credit: @sokawaytz_…

– Algeria ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ ina Washambuliaji hatari ambao kwa ujumla wamefunga Magoli Tisa mpaka hatua walipo wakivuka 16 Bora kwenda Robo fainali, Pia wana Mabeki Bora ambao mpaka hatua hii hawajaruhusu kufungwa Goli hata moja kwenye AFCON 2019.

.

– Algeria ndio timu Pekee ambayo bado haijaruhusu kufungwa Goli katika Michuano ya Mataifa ya Afrika, Pia ndio timu Pekee ambayo imefunga Magoli mengi zaidi katika Michuano.

#AFCONUpdates #TotalAFCON2019

@Sokawaytz_

Kocha mkuu wa misri atimuliwa kuifundisha timu hiyo baada ya kipigo cha jana

credit: @sokawaytz_…

๐Ÿ‘‰ Jana Baada ya Mechi Ujumbe wa kocha wa @pharaohsofficial Javier Aguirre kwa mashabiki wa Misri:

:

๐Ÿ—ฃ๏ธ “Sisi tuna huzuni sana kuhusu hili na tutajaribu na tutafakari kesho kile kilichosababishwa na kutenda sawasawa kwa siku zijazo”.

:

๐Ÿ—ฃ๏ธ “Sina uamuzi wowote juu ya kama nitaendelea kukaa kama kocha. Tunahitaji kujadili hili na Shirikisho la Misri.

:

– Hakuna Majadiliano, Sasa Ni Rasmi Shirikisho la Soka Nchini Misri limemfuta kazi Kocha wao huyo wa Timu yao ya taifa Raia wa Mexico, Javier Aguirre pamoja na benchi Zima. Kocha ambaye alikuwa na Mkataba Kuwaongoza Mafarao hao mpaka mwaka 2022… Aguirre kaisaidia Misri Kufuzu AFCON 2019 na kumaliza hatua ya Makundi bila kupoteza game hata moja wakishinda zote kutoka Kundi A wakiwa Kama wenyeji, Walifuzu 16 Bora na Jana waliondoshwa bila kutegemea mbele ya Afrika Kusini walioshinda 1-0 mbele ya umati wa Mashabiki wa Misri.

.

– Nae Rais wa Chama cha soka cha Misri (EFA), Hani Abou Rida ametangaza kujiuzulu Mara moja baada ya kumfuta kazi kocha mkuu wa timu ya taifa ya Misri, Javier Aguirre..

#AFCONUpdates

@Sokawaytz_

Uganda wavunja mkataba na Kocha mkuu wa Uganda cranes Sebastiane desabre

credit: @sokawaytz_…

#BREAKING

Shirikisho la Soka Nchini Uganda “FUFA” limevunja Mkataba na Kocha Mkuu wa Uganda Cranes, Sebastien Desabre Kwa makubaliano maalumu.

:

– Katika Taarifa ya Shirikisho hilo wamesema kuwa “FUFA inatambua mchango wa Kocha Desabre kwa kuboresha timu kimichezo na kitaaluma katika Kikosi Cha Uganda Cranes ikiwa ni pamoja na kufuzu kwa AFCON 2019 huko Misri na pia kufika hatua ya 16 Bora kisha kuondoshwa hatua hiyo.

:

– Sebastien Desabre Raia wa Ufaransa, anatajwa kuwa Ni chaguo Namba moja kwa Mabosi wa Klabu ya Al Ahly. Kutimuliwa huku itakuwa nafasi kwake kujiunga na Mabingwa hao wa Kihistoria Barani Afrika..

@sokawaytz_

Emanuel emenike matatami tanzania

credit: @sokawaytz_…

– Kocha wa Taifa Stars Emmanuel Amunike amekutana na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe kuzungumzia tathmini ya ushiriki wa timu hiyo kwenye michuano ya #AFCON2019 inayoendelea nchini Misri ambapo @taifastars_ imeondoshwa Baada ya kufungwa game zote tatu za hatua ya Makundi.

.

– Kwa Ujumla, Amunike ambaye Ni legend wa Nigeria, akiwa Kama kocha wa Timu ya taifa ya Tanzania, kaiongoza katika Michezo 10, Akipoteza Mara Sita na Ushindi Mara mbili kisha Sare Mara mbili..

#Updates #TaifaStars

Marcelo asaini yanga

credit: @sokawaytz_…

OFFICIAL | Klabu ya Yanga SC Imethibitisha kukamilisha uhamisho wa Beki wa kushoto kutoka Zanzibar katika klabu ya Malindi FC, Muharami Issa “Marcelo” kwa Mkataba wa Miaka Mitatu..

.

– Kama kumbukumbu unazo mdau, Beki huyo Alitambulishwa na Klabu ya Singida United siku Sita zilizopita kwa Mkataba wa Miaka Mitatu Pia… lakini hii leo kafanyiwa vipimo vya afya na Kusaini Mkataba Mitaa ya Jangwani na kupewa Jezi Namba Mbili kabla yake ilikuwa ikivaliwa na Gadiel Michael Mbaga aliyemaliza Mkataba na Mabingwa hao wa Kihistoria..

#TPLTransferUpdates #TPLUpdates