
credit: @sokaonline_…
#CopaAmerica 2019
. . โ Winners : Brazil๐ง๐ท
โ Fair Play Award: Brazil๐ง๐ท
โ Best Goalkeeper: Alison๐ง๐ท
โ Top GoalScorer: Everton๐ง๐ท
โ Best Player: Dani Alves๐ง๐ท .
.
Brazil Dominance ๐ช

credit: @sokaonline_…
#CopaAmerica 2019
. . โ Winners : Brazil๐ง๐ท
โ Fair Play Award: Brazil๐ง๐ท
โ Best Goalkeeper: Alison๐ง๐ท
โ Top GoalScorer: Everton๐ง๐ท
โ Best Player: Dani Alves๐ง๐ท .
.
Brazil Dominance ๐ช

credit: @sokawaytz_…
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
@danialves ๐ง๐ท amekuwa ni Mchezaji wa Kwanza katika Historia ya mpira wa Miguu Duniani kushinda Jumla ya Mataji 4๏ธโฃ0๏ธโฃ.
3x ๐ UCL
2x ๐ UEL
4x ๐ช๐บ Supercup
3x ๐ Club World Cup
6x ๐ช๐ธ La Liga
5x ๐ช๐ธ Supercup
5x ๐ช๐ธ CDR
1x ๐ฎ๐น Serie A
1x ๐ฎ๐น Cup
2x ๐ซ๐ท Ligue 1
2x ๐ซ๐ท Supercup
1x ๐ซ๐ท Cup
1x ๐ซ๐ท League Cup
2x ๐ Confed Cup
2x ๐ Copa America
๐คฏ Wow.
#championsleague #Laliga #ligue1 #seriea #CopaAmerica #europaleague.

credit: @sokawaytz_…
BREAKING NEWS
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeanza mchakato wa kumpata kocha wa muda atakayeiongoza Taifa Stars katika mechi za kufuzu CHAN dhidi ya Kenya.
TFF imefikia hatua hiyo baada ya kukubaliana kuachana na Kocha Mnigeria, Emmanuel Amunike kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kufanya vรญbaya kwenye AFCON.
Reposted from @giftmacha_official

credit: @sokawaytz_…
OFFICIAL | Klabu ya JKT Tanzania imeendelea kusuka Kikosi chake kuelekea msimu moya wa ligi Kuu Tanzania Bara kwa kukamilisha Usajili wa Beki Iddy Mobby kwa Mkataba wa Mwaka mmoja. Msimu uliopita kiraka huyo alichezea Mwadui FC.
.
– Wakati huo huo, Hassan Nassor Maulid amejiunga na Polisi Tanzania kwa mkataba wa Miaka Miwili akitokea Ndanda FC ya Mtwara ambayo Wachezaji wake waliokuwa nao msimu uliopita wanazidi kupukutika..
#TPLTransferUpdates #TPLUpdates

credit: @sokawaytz_…
– Algeria ๐ฉ๐ฟ ina Washambuliaji hatari ambao kwa ujumla wamefunga Magoli Tisa mpaka hatua walipo wakivuka 16 Bora kwenda Robo fainali, Pia wana Mabeki Bora ambao mpaka hatua hii hawajaruhusu kufungwa Goli hata moja kwenye AFCON 2019.
.
– Algeria ndio timu Pekee ambayo bado haijaruhusu kufungwa Goli katika Michuano ya Mataifa ya Afrika, Pia ndio timu Pekee ambayo imefunga Magoli mengi zaidi katika Michuano.
#AFCONUpdates #TotalAFCON2019
@Sokawaytz_

credit: @sokaonline_…
Paulo Dybala jana aliibuka mchezaji bora wa mechi “Man Of The Match” katika mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu wa michuano ya Copa America dhidi ya Chile. .
.
Argentina walishinda 2-1 mabao yakifungwa na Dybala na Aguero wakati la Chile likifungwa na Arturo Vidal kwa mkwaju wa penati.

credit: @sokawaytz_…
๐ Jana Baada ya Mechi Ujumbe wa kocha wa @pharaohsofficial Javier Aguirre kwa mashabiki wa Misri:
:
๐ฃ๏ธ “Sisi tuna huzuni sana kuhusu hili na tutajaribu na tutafakari kesho kile kilichosababishwa na kutenda sawasawa kwa siku zijazo”.
:
๐ฃ๏ธ “Sina uamuzi wowote juu ya kama nitaendelea kukaa kama kocha. Tunahitaji kujadili hili na Shirikisho la Misri.
:
– Hakuna Majadiliano, Sasa Ni Rasmi Shirikisho la Soka Nchini Misri limemfuta kazi Kocha wao huyo wa Timu yao ya taifa Raia wa Mexico, Javier Aguirre pamoja na benchi Zima. Kocha ambaye alikuwa na Mkataba Kuwaongoza Mafarao hao mpaka mwaka 2022… Aguirre kaisaidia Misri Kufuzu AFCON 2019 na kumaliza hatua ya Makundi bila kupoteza game hata moja wakishinda zote kutoka Kundi A wakiwa Kama wenyeji, Walifuzu 16 Bora na Jana waliondoshwa bila kutegemea mbele ya Afrika Kusini walioshinda 1-0 mbele ya umati wa Mashabiki wa Misri.
.
– Nae Rais wa Chama cha soka cha Misri (EFA), Hani Abou Rida ametangaza kujiuzulu Mara moja baada ya kumfuta kazi kocha mkuu wa timu ya taifa ya Misri, Javier Aguirre..
#AFCONUpdates
@Sokawaytz_

credit: @sokawaytz_…
#BREAKING
Shirikisho la Soka Nchini Uganda “FUFA” limevunja Mkataba na Kocha Mkuu wa Uganda Cranes, Sebastien Desabre Kwa makubaliano maalumu.
:
– Katika Taarifa ya Shirikisho hilo wamesema kuwa “FUFA inatambua mchango wa Kocha Desabre kwa kuboresha timu kimichezo na kitaaluma katika Kikosi Cha Uganda Cranes ikiwa ni pamoja na kufuzu kwa AFCON 2019 huko Misri na pia kufika hatua ya 16 Bora kisha kuondoshwa hatua hiyo.
:
– Sebastien Desabre Raia wa Ufaransa, anatajwa kuwa Ni chaguo Namba moja kwa Mabosi wa Klabu ya Al Ahly. Kutimuliwa huku itakuwa nafasi kwake kujiunga na Mabingwa hao wa Kihistoria Barani Afrika..
@sokawaytz_

credit: @sokawaytz_…
– Kocha wa Taifa Stars Emmanuel Amunike amekutana na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe kuzungumzia tathmini ya ushiriki wa timu hiyo kwenye michuano ya #AFCON2019 inayoendelea nchini Misri ambapo @taifastars_ imeondoshwa Baada ya kufungwa game zote tatu za hatua ya Makundi.
.
– Kwa Ujumla, Amunike ambaye Ni legend wa Nigeria, akiwa Kama kocha wa Timu ya taifa ya Tanzania, kaiongoza katika Michezo 10, Akipoteza Mara Sita na Ushindi Mara mbili kisha Sare Mara mbili..
#Updates #TaifaStars

credit: @sokawaytz_…
OFFICIAL | Klabu ya Yanga SC Imethibitisha kukamilisha uhamisho wa Beki wa kushoto kutoka Zanzibar katika klabu ya Malindi FC, Muharami Issa “Marcelo” kwa Mkataba wa Miaka Mitatu..
.
– Kama kumbukumbu unazo mdau, Beki huyo Alitambulishwa na Klabu ya Singida United siku Sita zilizopita kwa Mkataba wa Miaka Mitatu Pia… lakini hii leo kafanyiwa vipimo vya afya na Kusaini Mkataba Mitaa ya Jangwani na kupewa Jezi Namba Mbili kabla yake ilikuwa ikivaliwa na Gadiel Michael Mbaga aliyemaliza Mkataba na Mabingwa hao wa Kihistoria..
#TPLTransferUpdates #TPLUpdates