South Africa yaiondoa egypt kwenye mashindano ya Afcon

credit: @sokawaytz_…

Mpira umekwisha Cairo International Stadium… Wenyeji wa AFCON 2019, @pharaohsofficial wametupwa nje ya Michuano baada kupokea kipigo kutoka kwa Bafana Bafana walioonesha kiwango Bora mno 🙌… Baada ya Ushindi huu Sasa Afrika Kusini wanakutana na Nigeria katika Mchezo wa Robo fainali siku ya Julai 10 mwaka huu.

:

Misri 🇪🇬 0-1 🇿🇦 Afrika Kusini

[Thembinkosi Lorch]

#AFCON2019 #EGYRSA

Leicester city yakomaa na Samata

credit: @josephjosey10_…

Hii ni page ya tetesi based in Leicester City rumors na Gossip ikiripoti kuwa Leicester City imetuma offer Recing Genk ili kupata huduma ya Mtanzania Mbwana Ally Samatta. Je, nyota huyu akubali kuachana na nafasi ya kucheza klabu bingwa ulaya msimu ujao na akapambanie namba na Jamie Vardy???

::

::

Follow @josephjosey10_

::

::

#full_sokaupdates

#90sportsplusupdates #soka #sokaonlineupdates #sokaonline #sokaliveupdates #sevilla #spain #laliga #saujifullsokkaa #full_sokatzupdates #shaffihdauda #shaffihdaudawebsite #millardayo #millardayosports #millardayoupdates #YangaMpya #yangasc #yanga #yangascbingwaupdates #simbasc #simbanguvumoja #simba #SimbaRaha #michezohalisiupdates #michezoonlineupdates #michezo #tanzaniapremierleague #tanzaniapremierleague🇹🇿 #zamuyetuafcon2019🇹🇿

Matokeo ya jana na mechi za leo

credit: @sokawaytz_…

MATOKEO YA SOKA JANA IJUMAA NA RATIBA YA HII LEO.

:

– Africa Cup of Nations – Round of 16.

AET Morocco 1 – 1 Benin *

FT Uganda 0 – 1 Senegal

.

– International – Club Friendlies.

FT Hobro 0 – 0 Fredericia

FT AC Horsens 0 – 4 AaB

FT FC Ufa 0 – 1 Viktoria Plzen

FT FC Twente 0 – 0 Al-Wahda

FT Austria Wien 2 – 1 Banik Ostrava

FT Sparta Rotterdam 1 – 0 Zaglebie Lubin

FT Xamax 1 – 5 FC Stade Lausanne-Ouchy

FT Grazer AK 2 – 0 Middlesbrough

FT LASK 1 – 0 Sparta Prague

FT Rijeka 1 – 2 PFC Sochi

FT Rubin Kazan 0 – 0 FC Tambov

FT Shakhtar Donetsk 2 – 1 FC Koebenhavn

FT AS Beziers 0 – 0 Nimes

FT FC Krasnodar 0 – 2 Ural

FT FK Akhmat 1 – 1 Inter Zapresic

FT Slovan Liberec 0 – 1 Dinamo Moscow

FT SpVg Frechen 20 1 – 7 1. FC Köln

FT VVV-Venlo 3 – 3 St.Truiden

FT Wolfsberger AC 1 – 0 SK Austria Klagenfurt

FT FC Emmen 1 – 1 PEC Zwolle

FT FC Groningen 2 – 0 Ross County

FT Kortrijk 2 – 0 OH Leuven

FT Lugano 2 – 2 Chiasso

FT SC Heerenveen 5 – 4 SV Meppen

FT Taffs Well 1 – 5 Cardiff City

FT AFC Wimbledon 0 – 3 Brentford

:

RATIBA YA HII LEO JUMAMOSI.

– Copa America – 3rd place W.

22:00 Argentina

Chile

.

– World Cup Women – 3rd place W.

18:00 England

Sweden

.

– Africa Cup of Nations – Round of 16.

19:00 Nigeria

Cameroon

22:00 Egypt

South Africa

#fixtures #Updates

@Sokawaytz_

Matokeo ya mechi za jana na ratiba ya leo

credit: @sokawaytz_…

MATOKEO YA SOKA JANA NA RATIBA YA HII LEO IJUMAA.

:

.

– Europa League – Qualification:: Preliminary round.

FT Cardiff Met University 2 – 1 FC Progres Niedercorn

FT UE Engordany 2 – 1 La Fiorita Montegiardino

FT NSI Runavik 0 – 0 Ballymena United

FT Europa FC 4 – 0 Sant Julia

FT Cliftonville 4 – 0 Barry Town

FT Tre Fiori 0 – 4 Klaksvik

.

-:International – Club Friendlies

FT Ferencvaros 2 – 0 Royal Excel Mouscron

FT Spartak Moscow 1 – 2 FC Krasnodar

FT RSV Weyer 0 – 14 Fortuna Düsseldorf

FT DJK Bad Homburg 0 – 14 Eintracht Frankfurt

Aband. Charlton Athletic 1 – 0 Gaz Metan Medias

FT Rolder Boys 0 – 10 FC Emmen

FT Raith Rovers 3 – 2 Hamilton Academical.

:

RATIBA YA HII LEO IJUMAA.

– Africa Cup of Nations – Round of 16

19:00 Morocco

Benin

22:00 Uganda

Senegal

.

– International – Club Friendlies

13:00 Hobro

Fredericia

13:00 Rubin Kazan

FC Tambov

14:00 AC Horsens

AaB

16:00 FC Twente

Al-Wahda

16:00 FC Ufa

Viktoria Plzen

17:00 Austria Wien

Banik Ostrava

17:00 Zaglebie Lubin

Sparta Rotterdam

17:30 Xamax

FC Stade Lausanne-Ouchy

18:00 Grazer AK

Middlesbrough

18:00 LASK

Sparta Prague

18:00 Shakhtar Donets

FC Koebenhavn

18:30 AS Beziers

Nimes

18:30 FC Krasnodar

Ural

18:30 Slovan Liberec

Dinamo Moscow

19:00 SpVg Frechen 20

1. FC Köln

19:30 VVV-Venlo

St.Truiden

19:30 Wolfsberger AC

SK Austria Klagenfurt

20:00 FC Emmen

PEC Zwolle

20:00 FC Groningen

Ross County

20:00 Kortrijk

OH Leuven

20:00 Lugano

Chiasso

20:00 SC Heerenveen

SV Meppen

20:00 TSG Backnang

VfB Stuttgart

21:00 Taffs Well

Cardiff City

21:45 AFC Wimbledon

Brentford

#fixtures #Updates

@Sokawaytz_

Gormahia yachukua wawili kutoka tanzania

credit: @sokawaytz_…

– Mabingwa wa Ligi Kuu Nchini Kenya, Klabu ya GOR Mahia imevamia Tanzania na Kukamilisha usajili wa Nyota wawili wa Tanzania.. yatua Alliance na Singida United.

.

– K’Ogalo Imethibitisha Rasmi Kumsajili Mlinda lango David Kisu kwa Mkataba wa Miaka Mitatu akitokea Klabu ya Singida United ya mkoani Singida. Kisu mwenye umri wa Miaka 23 pia kabla ya kutua Singada amewahi kuzichezea Simba SC na Toto Africans zote za Tanzania kwa Kipindi tofauti tofauti.

.

– Wakati huo huo, Mshambuliaji wa Klabu ya Alliance FC ya Jijini Mwanza, Dickson Ambundo nae amejiunga na Mabingwa hao wa Keny kwa Mkataba wa Mkopo wa Mmoja..

#TransferNewsUpdates

@Sokawaytz_

Ajibu atoa mazito kwa mashabiki wa yanga

credit: @sokawaytz_…

– Aliyekuwa Kiungo Mshambuliaji wa Klabu ya Yanga SC, Ibrahim Ajibu amewashukuru Mashabiki na Viongozi na Benchi la Ufundi la Klabu hiyo Baada ya kukamilisha usajili wake wa kujiunga na Watani zao, @simbasctanzania, Ajibu ameandika katika Mtandao wake wa kijamii wa Instagram.

:

##Repost

Hakika Ilikua miaka miwili bora sana kwangu, ndani na nje ya uwanja, Yanga ilikua sehemu ya familia yangu.

Nitoe shukrani zangu za dhati kwa viongozi, benchi la ufundi, wachezaji na mashabiki wote, kwa kuniamini na kuniunga mkono katika kila jambo.

Ni mengi nimejifunza na nina amini yatanisaidia kunijenga zaidi kama mchezaji. Asanteni sana.

Hadi wakati mwingine tena, Wananchi🙏🏻

Francis Kahata atua simba sports club

credit: @sokawaytz_…

OFFICIAL | Haijalala!! Mara Moja Baada ya kuwasili Nchini jioni hii, Kiungo wa Kimataifa wa Kenya Francis Kahata Amesaini Mkataba wa Miaka Miwili kuitumikia Klabu ya Simba SC.

.

– Kahata mwenye umri wa Miaka 27; Ni mchezaji mwenye uwezo mkubwa wa kucheza eneo la kiungo, kwasasa akiwa sehemu ya wachezaji wanaounda kikosi cha timu ya Taifa ya Kenya, msimu ujao atavaa jezi ya Mabingwa hao Tanzania Bara.

.

– Amejiunga Msimbazi akitokea Gor Mahia ya Kenya ambapo akiwa kwenye klabu hiyo alishinda Kombe la Ligi Kuu mara tatu, kiungo bora wa mwaka wa Ligi Kuu ya Kenya mara mbili na mchezaji bora wa msimu 2018/2019 wa Gor Mahia.

#TPLTransferUpdates