SEVILLA – Kuwasili Dar Mei 21

Leo Jumamosi Sevilla inakamilisha mchezo wa mwisho ligi kuu ya Hispania , La Liga kwa kucheza na Athletic Club

Kama itashinda mchezo huo, Sevilla inayoshika nafasi ya sita kwenye msimamo wa La Liga , inaweza kukata tiketi ya kushiriki michuano ya ligi ya mabingwa msimu ujao

Baada ya mchezo huo, kikosi cha Sevilla itaanza safari ya kuja nchini tayari kwa mchezo wa Kimataifa wa kirafiki dhidi ya mabingwa wa Tanzania Bara, Simba

Sevilla inatarajiwa kuwasili nchini Mei 21 kuelekea mchezo huo utakaopigwa Mei 23, uwanja wa Taifa kuanzia saa moja jioni

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, (TFF) limesema kuwa ujio wa timu ya Sevilla kutoka nchini Hispania chini ya SportPesa Tanzania utaongeza hamasa na maendeleo ya mpira wa miguu nchini.

TFF imewataka wachezaji wa Simba kutumia fursa ya mechi hiyo kuonyesha uwezo na vipaji vyao ili kujitangaza

Rais wa TFF, Wallace Karia amesema kuwa Sevilla FC ni timu kubwa yenye historia kubwa katika soka duniani na hivyo ujio wao utawavutia mashabiki wa soka hata wa nchi jirani ili kuja kushuhudia wachezaji nyota wa wanaocheza bara la Ulaya.

CASILLAS: Mlinda lango wa Kimataifa wa Hispania, Iker Casillas Ametangaza kustaafu Soka rasmi hii leo;

– Mlinda lango wa Kimataifa wa Hispania, Iker Casillas Ametangaza kustaafu Soka rasmi hii leo; hili limekuja siku chache Baada ya kuruhusiwa hospitali ambako alikimbizwa kufuatia kupata Shambulio La Moyo wakati akiwa katika Mazoezi ya Klabu yake ya FC Porto..
.
– Legendary huyo amefanikiwa kucheza jumla ya mechi 881 ngazi ya Vilabu na games 167 katika timu yake ya taifa ya Hispania na makombe aliyotwaa ni Kama..
• 1x World Cup 🏆
• 2x Euro Championship 🏆
• 3x Champions League 🏆 • 5x La Liga 🏆
• 2x Copa del Rey 🏆
• 1x Club World Cup 🏆
• 1x Primeira Liga 🏆
🙌🏽🐐 #Updates

RATIBA YA SOKA HII LEO JUMAMOSI:

RATIBA YA SOKA HII LEO JUMAMOSI:
– Serie A
16:00 Udinese
SPAL
19:00 Genoa
Cagliari
21:30 Sassuolo
Roma
.
– FA Cup FINAL!!
19:00 Manchester City
Watford
.
– Bundesliga
16:30 Bayern München
Eintracht Frankfurt
16:30 Borussia M’gladbach
Borussia Dortmund
16:30 Fortuna Düsseldorf
Hannover 96
16:30 Freiburg
Nürnberg
16:30 Hertha BSC
Bayer Leverkusen
16:30 Mainz 05
Hoffenheim
16:30 Schalke 04
Stuttgart
16:30 Werder Bremen
RB Leipzig
16:30 Wolfsburg
Augsburg
.
– Ligue 1
22:00 Bordeaux
Reims
22:00 Guingamp
Nîmes
22:00 Lille
Angers SCO
22:00 Monaco
Amiens SC
22:00 Montpellier
Nantes
22:00 Olympique Lyonnais
Caen
22:00 PSG
Dijon
22:00 Saint-Étienne
Nice
22:00 Strasbourg
Rennes
22:00 Toulouse
Olympique Marseille
.
– La Liga
14:00 Levante
Atlético Madrid
17:15 Espanyol
Real Sociedad
17:15 Getafe
Villarreal
17:15 Real Valladolid
Valencia
17:15 Sevilla
Athletic Club
21:45 Celta de Vigo
Rayo Vallecano
21:45 Deportivo Alavés
Girona
21:45 Huesca
Leganés
.
– UEFA Women’s Champions League – FINAL!!
19:00 Olympique Lyonnais
Barcelona
.
– Belgium – First Division A.
(EL play-off: group A)
21:00 KFCO Beerschot-Wilrijk
Oostende
21:00 Sporting Charleroi
Eupen
21:00 St.Truiden
Westerlo
.
– Ligi Kuu Bara.
16:00 African Lyon
Mbeya City FC
.
– Kenya – Premier League.
14:00 MT Kenya United
SoNy Sugar
15:00 Kariobangi Sharks
KCB
15:00 Nzoia Sugar FC
Sofapaka
16:15 Posta Rangers
Kakamega Homeboyz
.
– Morocco – Botola Pro
22:00 Difaa El Jadida
Hassania Agadir
22:00 Rapide Club Oued Zem
OCK Khouribga
.
– South Africa – Cup.
20:00 Kaizer Chiefs
TS Galaxy
:
MECHI ZA JANA
– Belgium – First Division A.
(EL play-off: group)
FT Kortrijk 4 – 0 Cercle Brugge
FT Royal Excel Mouscron 2 – 4 Waasland-Beveren
FT Zulte-Waregem 2 – 1 Union St.-Gilloise
#Updates @Sokawaytz

SIMBA – TUZO ya Mshambuliaji Bora wa mwaka – MO SIMBA AWARDS

John Bocco, Meddie Kagere na Emmanuel Okwi wameteuliwa kuwania tuzo ya mshambuliaji bora wa mwaka

Bocco, Kagere na Okwi wameongoza vyema safu ya ushambuliaji ya Simba wakifunga mabao 50 kati ya 72 yaliyofungwa kwenye ligi

Kagere anaongoza mbio za kuwania kiatu cha dhahabu ligi kuu ya Tanzania Bara akiwa amefunga mabao 20

Mshambuliaji huyo pia ndiye kinara wa mabao wa kikosi cha Simba katika michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika ambayo Simba imetolewa hatua ya robo fainali amefunga mabao sita

Bocco na Okwi wamefunga mabao 15 kila mmoja kwenye ligi kuu ya Tanzania Bara

Kupiga kura tembelea tovuti rasmi ya MO SIMBA AWARDS kwa kubonyeza HAPA