Hata hivyo kulingana na ratiba ya ligi iliyotolea awali na Bodi ya Ligi, May 22 Simba ilipaswa kuwa mkoani Singida kucheza na Singida United
Bodi ya ligi imelazimika kuahirisha mchezo huo dhidi ya Singida United
Huenda Simba ikacheza na Singida United baada ya mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar utakaopigwa May 28 kwani baada ya kuikabili Sevilla, May 25 Simba itacheza na Biashara United mchezo utakaopigwa uwanja wa Taifa









































