
Mchezo huo utapigwa kesho Jumamosi katika uwanja huo
Msafara wa Simba uliwasili mkoani Mara mapema leo na kupokewa na idadi kubwa ya mashabiki waliokuwa na shauku ya kuwaona mabingwa hao wa nchi







Mchezo huo utapigwa kesho Jumamosi katika uwanja huo
Msafara wa Simba uliwasili mkoani Mara mapema leo na kupokewa na idadi kubwa ya mashabiki waliokuwa na shauku ya kuwaona mabingwa hao wa nchi







Mchezo huo utapigwa kesho Jumamosi, April 27 kwenye uwanja wa Karume
Idadi kubwa ya mashabiki wamejitokeza kwa wingi kuulaki msafara wa mabingwa hao watetezi wakati ukiingia Musoma

Simba tayari imeondoka Mwanza na leo jioni inatarajiwa kujifua kwenye uwanja huo
Hii itakuwa mara ya kwanza kwa Simba kucheza mkoani Mara baada ya kupita miaka 15
Biashara United inanolewa na beki wa zamani wa Simba Amri Said

Baada ya mchezo dhidi ya KMC jana, mashabiki wa Yanga walionekana kuisemea KMC kuwa imeonewa na waamuzi huku wachezaji wa timu yao wakigoma kufanya mazoezi wakidai mishahara
Tangu jana wachezaji wa Yanga hawafanyi mazoezi wakishinikiza walipwe madai yao ya mishahara ya miezi mitatu huku wengine wakiwa hawajalipwa fedha za usajili mpaka leo
“Badala ya kuhangaika jinsi ya kuwalipa mishahara wachezaji wenu mnahangaika na timu Bingwa inayowafunga kila siku. Kama nyie wananchi wachangieni hao wachezaji walipwe mishahara,” ameandika Manara kwenye ukurasa wake wa mtandao wa Instagram

Leo Zahera aliamua kutumia wachezaji wa Yanga B kujiandaa na mchezo dhidi ya Azam FC baada ya wachezaji wa kikosi cha kwanza kugoma tena kufanya mazoezi licha ya kufika mapema uwanja wa chuo cha Polisi Kurasini
Mwishoni mwa msimu uliopita Yanga ilikumbana na changamoto kama hii ya wachezaji kugoma wakishinikiza walipwe hali iliyopelekea kumalizia michezo ya mikaoni ikiwa na kikosi cha wachezaji 14
Huenda hali hiyo ikajirudia tena kwa michezo sita iliyobaki kama viongozi wa muda wa Yanga hawatachukua hatua za haraka kutatua mgogoro uliopo

Jana wachezaji hao waligoma kufanya mazoezi wakishinikiza waonane na uongozi wa Yanga ili kujua hatma ya madai yao ya mishahara na fedha za usajili
Wagoma tena
Licha ya kufika mapema mazoezini, wachezaji wa kikosi cha kwanza, waligoma kufanya mazoezi wakiwasubiri viongozi wafanye nao kikao
Kocha Zahera alilazimika kutumia Yanga B kuendelea na program ya mazoezi kujiandaa na mchezo dhidi ya Azam















Hata hivyo leo katika mchezo dhidi ya KMC, Bocco ameifungia Simba mkwaju muhimu wa penati ulioipandisha Simba hadi nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1
Hata hivyo katika mchezo huo Meddie Kagere alikosa penati ya kwanza iliyotolewa na mwamuzi
Matukio haya yanadhihirisha kuwa hakuna sababu ya kuwalaumu wachezaji pale wanapokosa mikwaju ya penati kwani hakuna mchezaji mwenye uhakika wa kufunga penati kwa asilimia 100
Katika kikosi cha Simba Bocco ndiye mwenye rekodi nzuri ya kufunga mikwaju ya penati.
Kwenye ligi Bocco amefunga mikwaju yote mitano aliyopiga msimu huu
Bao la kwanza la Simba limepatikana kutoka kwa Emmanuel Okwi dakika ya 23 na kusawazisha na mchezaji mahiri kabisa kutoka KMC Hassan kabunda mnamo dakika ya 57 baaadae kabisa dakika za lala salama John Bocco ameipatia goli la ushindi kwa mkwaju wa pelnati dakika ya 82.
Ni moja ya mchezo ulio kua na mvutano mkubwa kutoka pande zote mbili huku AK 14 Meddie Kagere akikosa penalt
Kwa matokea haya sasa simba imemfikia azam fc kwa kuwa na point sawa